beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Wizara ya Afya imesema visa vipya 35 vimethibitishwa nchini humo baada ya sampuli 2,267 kufanyiwa vipimo. Kati ya sampuli hizo 1,412 ni kutoka mipakani na 855 ni za wananchi wa kawaida
Vilevile, madereva 31 kutoka Kenya-18, Tanzania-7, DR Congo-4 na Burundi-2 wamerudishwa nchini kwao baada ya kukutwa na maambukizi
Wagonjwa 82 wa #COVID19 wamepona nchini humo na hakuna kilichorekodiwa hadi sasa
=====
Vilevile, madereva 31 kutoka Kenya-18, Tanzania-7, DR Congo-4 na Burundi-2 wamerudishwa nchini kwao baada ya kukutwa na maambukizi
Wagonjwa 82 wa #COVID19 wamepona nchini humo na hakuna kilichorekodiwa hadi sasa
=====