Recent content by The atlantic

  1. T

    JamiiForums Tanzania Mlitudanganya wadada wembamba warefu wana papuchi kubwa.

    Ujengewe sanamu pale makao makuu ya SIMBA SC.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    Hatuna exactly tunachopenda. Inadepend na mood ya siku hiyo so kazi yako ni kujua kusoma majira ya kila siku asubui napotoka na jioni nikrudi. Epuka maswali maswali hapo ni nyumban sio polisi. Epuka kujitilisha vihuruma huruma vya ovyo. Epuka ukali wa kijinga. Usiwe na WIVU wowote maana umeolewa...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM amwambia wazi rais Samia, haogopi kutekwa wala haogopi mtu

    Ila wakati mwingine.....#FREE MDUDE ilishapoa kabisa. Kumanisha biashara ya mdude hapa duniani kwisha.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Wamasai na Wasukuma hakuna binti wa bure!!

    Wasukuma ni wagawa utamu kama simba....na kuvunja mji ni kugusa
  5. T

    JamiiForums Tanzania Watu wa technology za simu mnaposemaga PRO,PRO MAX,ULTRA mnamaanisha nini?

    Chatgpt itakusaidia within a second
  6. T

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Picha hii ya Juma Jux akiwa amekonda sana ni halisi?

    Sawa ila kwanini akae ukweni....itisheni kikao cha wanaume haraka sana tujadili suala hilo ikibidi karipio kali litolewe.
  7. T

    JamiiForums Tanzania HOJA Maonesho ya wakulima (Nane Nane): Serikali itafakari mambo haya 9

    Hoja yako ni nzuri sana. Lengo kuu limebadilika 88 imegeuka minada ya kuuza mitumba na bidhaa zisizoendana
  8. T

    JamiiForums Tanzania Ile ilikuwa VAR au Azam Tv?!

    FVS(football video support) ni jamii ya VAR lakini yenyewe ni low cost na inasaidia kureview baadhi ya matukio tata. Kwa kawaida baada ya review lazima mtangaziwe maamuzi hadharani
  9. T

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Nyamhongolo, tunapitia shida kubwa ya maji, ni wiki ya tatu maji hayatoki na MWAUWASA hatuambiwi tatizo ni nini?

    Mwanza kuna TATIZO KUBWA SANA LA MAJI. MAHINA KATI, OMEGA na NYANGULUGULU Na joto hili la usiku yaani .....
  10. T

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Maoni yanamhusu juma jux ambaye ndiye subject kwenye huu uzi so maoni hayo kwenye jukwaa hili ni sahihi.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Hata mwanza mabasi yote yamerundikana nata
Back
Top Bottom