Recent content by The atlantic

  1. T

    JamiiForums Tanzania Watanzania tusikubali kuchezeshwa kete ya ubaguzi

    Kitu pekee tunachohitaji kutoka zanzibar kwa sasa ni wachezaji wanaocheza YANGA basi.....!! Muungano tupa kule coz hakuna tutachopoteza kama watanganyika.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kufungiwa kwa akaunti ya Mange, yafika mbali

    Sasa wewe unaona kabisa mzee butku anazo?
  3. T

    JamiiForums Tanzania Jamani wanawake wenye watoto badilikeniI

    Kwamba single mama amekupiga sio.....kweli kuimba ni kupokezana.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Africa tungepewa uhuru kwa makabila badala ya mataifa bandia tungekuaje leo hii ?

    Wakuria tungekuwa na mara yetu alafu tungejitahidi kuivamia Geita iwe yetu. Vile vile ng'ombe zote za wasukuma zingekuwa zetu. If wishes were horses....
  5. T

    JamiiForums Tanzania Tukiwachunga hawa 👇mabwana wawili tutaishi vizuri na Dunia itakuwa salama

    Kuna wakati hao mabwana husaidiana huko uvinza, Wakorofi sana
  6. T

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Akae kwa kutulia tanganyika tunajitosheleza kwa kila kitu...they need us more than we need them.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huu ndio uraia wake na dini yake

    https://www.jamiiforums.com/threads/je-wajua-tanzania-ina-makamu-wawili-wa-rais-mmoja-ni-halali-na-mwingine-ni-batili-hadi-tarehe-4-septemba-ndipo-anakuwa-halali.2467499/unread
  8. T

    JamiiForums Tanzania Napenda Kumjibu Mzee Warioba Ya Kuwa CCM Itaongoza Taifa hili Hadi Mwisho wa Dunia Na Ataicha ikiwa Madarakani. Aache Chuki Binafsi Kwa Rais wetu

    https://www.jamiiforums.com/threads/je-wajua-tanzania-ina-makamu-wawili-wa-rais-mmoja-ni-halali-na-mwingine-ni-batili-hadi-tarehe-4-septemba-ndipo-anakuwa-halali.2467499/unread Msome huyu nguli then ulete mtazamo wako
  9. T

    JamiiForums Tanzania Heche amjibu Mzee Butiku: “Watanzania mpuuzeni, Chadema haifadhiliwi na Marekani”

    Mzee ni warioba tuu hao wengine watafute jina jingine.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Mshahara wangu Tsh. 600,000, nataka nikope milioni 15 nijenge na kuongeza mtaji wa biashara, naomba ushauri

    Usijekubali kulipa deni kwa miaka 12. Go ahead.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Nchimbi anaweza kututajia watekaji wote kwa majina

    Mnatajataja AMANI ili kututia hofu. Mnaitumia amani tuliyonayo kutuumiza....
  12. T

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Hawezi mkuu,
  13. T

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Wayamalize....mtoa mada ana haki maana ni stakeholder kwenye mafanikio ya duchu
  14. T

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Huwezi kumhukumu kwa hisia zako . Lazima Aliyezingua ni duchu,mtoa mada hana cha kupoteza kama ilivyo kwa Duchu. Kumbuka lazima kuna ahadi waliwekeana kama washikaji....na aliyetangulia kuvunja makubaliano ni duchu. Sioni haja ya kumlaumu mtoa mada kwani ni wangapi wenye vipaji lakini hawana...
Back
Top Bottom