Recent content by The atlantic

  1. T

    JamiiForums Tanzania Bei za TV brands tofauti tofauti tofauti

    Evvoli au TCL 43. Ipi nzuri na je bei Inapoa
  2. T

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza kiwanja Nyamhongolo

    Mkuu vipi buswelu siwezi pata kakiwanja kwa 2m
  3. T

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza kiwanja Nyamhongolo

    Unauza bei gani chief
  4. T

    JamiiForums Tanzania Tanesco sasa mnaleta matangazo pika kwa umeme unit ndogo mumeshindwa kupunguza bei za unit na kuboresha umeme.

    TANESCO nimepewa control number ya kulipia kusimika mashine ya kusaga.... Bahati mbaya mtandao ukawa unasumbua sikuweza kulipia na control number ya malipo ikawa ime'expire. Sasa naambiwa tena nianze kuchukua form upya.... Ambapo form ni tsh 100000. Hii imekaaje kwanini nisipewe control number...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Serikali yapiga Marufuku Uhamisho wa Watumishi

    Waajiri wasimbe tu. Maana ni kama hawawazii ndoa za watu.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Mvutano wa kipi kinatangulia: Can simple maths give us the answer

    Great Retired
  7. T

    JamiiForums Tanzania Chameleone Kusaini talaka baada ya miaka 17 kwenye ndoa. Adai mali ni za watoto

    Kwani kumbe kaka kamirioni ni mume wa tseshai Maria sarungi au hizi gongo siku hizi wanaongeza na hamira.. 😮‍💨😮‍💨😮‍💨😮‍💨
  8. T

    JamiiForums Tanzania Kibali kimekosewa.

    Noted big boss
  9. T

    JamiiForums Tanzania Kibali kimekosewa.

    Mkurugenzi, afisa utumishi na dmo
  10. T

    JamiiForums Tanzania Kibali kimekosewa.

    Mkuu mambo ya kiserikali haya yana taratibu zake.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Kibali kimekosewa.

    So kisainiwe hivyo hivyo
  12. T

    JamiiForums Tanzania Kibali kimekosewa.

    Wanabodi wasalaam. Kibali changu cha uhamisho kimetoka japo kimekosewa kwenye kada. Mimi niko idara ya afya na kibali changu kimetoka kikiwa kinani'refer Kama mwalimu. Nifanyeje? Msaada wanandugu.
  13. T

    JamiiForums Tanzania Tunauza Sungura

    Umemaliza
  14. T

    JamiiForums Tanzania Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga, chukua nondo hizi

    Umemjibu kiutu uzima na hajarudi.
  15. T

    JamiiForums Tanzania Sim INAUZWA SAMSUNG galaxy a14

    Akili za watoto zikoje
Back
Top Bottom