TANESCO nimepewa control number ya kulipia kusimika mashine ya kusaga.... Bahati mbaya mtandao ukawa unasumbua sikuweza kulipia na control number ya malipo ikawa ime'expire. Sasa naambiwa tena nianze kuchukua form upya.... Ambapo form ni tsh 100000. Hii imekaaje kwanini nisipewe control number...
Wanabodi wasalaam.
Kibali changu cha uhamisho kimetoka japo kimekosewa kwenye kada.
Mimi niko idara ya afya na kibali changu kimetoka kikiwa kinani'refer Kama mwalimu.
Nifanyeje? Msaada wanandugu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.