Ile ilikuwa VAR au Azam Tv?!

Ile ilikuwa VAR au Azam Tv?!

Ile ni VS (video support) ,ni low cost. Angalau itasaidia baadhi ya matukio tata kuliko kila tukio tata kusubiri kukaa kikao na kumfungia muamuzi.
Lakini ninacho shangaa mimi ni refa kutumia kiingereza kwa mechi kama hiyo au ligi kuelezea tukio wakati watazamaji karibia 70% wanaweza wasielewe hicho kiiengereza maana ni watz.
 
FVS(football video support)
ni jamii ya VAR lakini yenyewe ni low cost na inasaidia kureview baadhi ya matukio tata.

Kwa kawaida baada ya review lazima mtangaziwe maamuzi hadharani
 
Rais wa TFF Bw. Karia alisema VAR ni gharama kubwa hivyo FIFA wameshauri watumie football video support (FVS) ili kumudu gharama.
 
Tanzania utani ni mwingi sana.

Otherwise mnisaidie kujua, kwenye mechi ya jana pale Amaan Stadium ile ni VAR au Azam Tv. Pembeni niliona wamefunga antena.
Naomba kufahamu, je, hii inakuwa FVS inakuwa imeruhusiwa na CAF na FIFA au huwa hakuna kipingamizi cha aina ya teknolojia ya kutumia katika mpira?
 
Back
Top Bottom