kwan hapa mkuu tunaongelea mpira au netball na arsenal inacheza mpira wa miguu au netball..sasa tunapoongelea mpira wa miguu bila kutaja timu unafikiri ataelewa sasa huyo mdau anaetaka kujifunza mpira mm nimempa anttetion tu kuwa asishabikie arsenal coz ataumwa ugonjwa wa moyo tim yenyewe shipa...
kwan ww boss ni mshabiki wa timu gan ngoja tuanze na hilo.. kisha kama ww mshabiki wa arsenal bora endelea hvyo hvyo kutoupenda ukija kupenda na tim yako pasua kichwa hyo arsenal utapata ugonjwa wa moyo bure ww endelea kupenda movie na music vitu vya recorded lakn mpira kitu cha live bira chenga
jamn mm mwenyewe nahtaji m.1 ila mm ni mfanyakazi wa serikali so mwenye uwezo anikopeshe baada ya mwezi narudisha dhamana yangu ni vyeti pamoja na kazi yangu inshort siwez acha kurudisha
yaan nishaanza kuhisi makonda tyr kashanza kutafutwa taratibu kumbuka chenge.kina manji ndo sampuli moja na tyr wabunge wote iwe wa upinzan tyr makonda kashawachokonoa sasa hapo patamu epsode 2...patam hapo
jamn mm nahtaji fundi wa Huawei coz sim yangu Huawei ascend G610 na model G610-u20 imekufa mashine sasa nahtaj fund mwenye hyo Mashne ya cm anichek kwa 0714 591693
Jamn nahitaji fundi cm aliebobea kwenye maswala ya softwere na cm huawei g.610 imewashinda mafund wengi so nahitaji msaada wa haraka vilevile nina cm HTC inahitajika boots file mwenye uwezo tuchekiane kwa dsm namba Yang 0714 591693
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.