Recent content by the agent

  1. T

    Nifanyeje nipende mpira wa miguu

    kwan hapa mkuu tunaongelea mpira au netball na arsenal inacheza mpira wa miguu au netball..sasa tunapoongelea mpira wa miguu bila kutaja timu unafikiri ataelewa sasa huyo mdau anaetaka kujifunza mpira mm nimempa anttetion tu kuwa asishabikie arsenal coz ataumwa ugonjwa wa moyo tim yenyewe shipa...
  2. T

    Nifanyeje nipende mpira wa miguu

    kwan ww boss ni mshabiki wa timu gan ngoja tuanze na hilo.. kisha kama ww mshabiki wa arsenal bora endelea hvyo hvyo kutoupenda ukija kupenda na tim yako pasua kichwa hyo arsenal utapata ugonjwa wa moyo bure ww endelea kupenda movie na music vitu vya recorded lakn mpira kitu cha live bira chenga
  3. T

    Nahitaji mkopo dhamana vyeti vyangu

    jamn mm mwenyewe nahtaji m.1 ila mm ni mfanyakazi wa serikali so mwenye uwezo anikopeshe baada ya mwezi narudisha dhamana yangu ni vyeti pamoja na kazi yangu inshort siwez acha kurudisha
  4. T

    Soudy Brown na Shilawadu mmeshindwa kunyapia harusi ya Zamaradi? Kweli hakunaga Uhuru wa habari

    boss hujui hilo mpka leo alikuwa na watoto tena wa 2 wa boss ruge mtahaba
  5. T

    Mke wa Jose Chameleone ashuhudia mmewe akitandikwa mabanzi na P-funk majani Kampala

    jmn uganda kunani chamilion kala mbata toka kwa p.funk na bob wine naye bungen katembeza kipigoooo haaaa
  6. T

    Kwa uamuzi huu wa RC na DC kuitwa kujitetea kwenye mhimili wa bunge Mtemi Chenge kakosea

    yaan nishaanza kuhisi makonda tyr kashanza kutafutwa taratibu kumbuka chenge.kina manji ndo sampuli moja na tyr wabunge wote iwe wa upinzan tyr makonda kashawachokonoa sasa hapo patamu epsode 2...patam hapo
  7. T

    Bei ya TOYOTA RAUM mpya!!

    boss bei gan hyoo raum
  8. T

    SEKESEKE: Wapangaji Majengo ya CDA Dodoma wanatimuliwa muda huu

    hapa kwa mahesabu yangu ya haraka haraka nahs kuna wageni kutoka dar au wizara flan inayohamia dodoma wafanyakaz wanaandaliwa makazi
  9. T

    Nahitaji kujua mahali mafundi bingwa wa simu Dar walipo.

    jamn mm nahtaji fundi wa Huawei coz sim yangu Huawei ascend G610 na model G610-u20 imekufa mashine sasa nahtaj fund mwenye hyo Mashne ya cm anichek kwa 0714 591693
  10. T

    Jiji la Mbeya a.k.a Green City laanza kuchipua upya

    iringa na Dodoma upi mji mzuri
  11. T

    Msaada: Huawei Y 530 inasema SD Card Full wakati ina nafasi ya kutosha, nifanyeje?

    Jamn nahitaji fundi cm aliebobea kwenye maswala ya softwere na cm huawei g.610 imewashinda mafund wengi so nahitaji msaada wa haraka vilevile nina cm HTC inahitajika boots file mwenye uwezo tuchekiane kwa dsm namba Yang 0714 591693
Back
Top Bottom