Soudy Brown na Shilawadu mmeshindwa kunyapia harusi ya Zamaradi? Kweli hakunaga Uhuru wa habari

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
1,393
3,234
1df5f8fd20fd6bceec7b2d7173b344aa.jpg
d6b4bcd6a6cac5c424a4ec31a63469a2.jpg


Wanajamvi leo picha za harusi ya Zamaradi Mketema aliyekuwa mpenzi wa Ruge bosi wa Clouds media akiolewa na bwana mwingine zimeenea mtandaoni.

Cha ajabu nimezungukia page za vijana wa kunyapia Soudy Brown na mwenzie sijaona habari za kunyapianyapia. Kweli nimeamini hakuna uhuru wa habari bali kuna uhuru wa mwenye chombo hivi kweli angekuwa ameolewa staa mwingine yeyote kwa siri namna hii hii ingekuwa habari kubwa sana kwa shilawadu clouds na akina Millard Ayo waki speculate sasa wote kimya.
 
1df5f8fd20fd6bceec7b2d7173b344aa.jpg
d6b4bcd6a6cac5c424a4ec31a63469a2.jpg


Wanajamvi leo picha za harusi ya Zamaradi Mketema aliyekuwa mpenzi wa Ruge bosi wa Clouds media akiolewa na bwana mwingine zimeenea mtandaoni.

Cha ajabu nimezungukia page za vijana wa kunyapia Soudy Brown na mwenzie sijaona habari za kunyapianyapia. Kweli nimeamini hakuna uhuru wa habari bali kuna uhuru wa mwenye chombo hivi kweli angekuwa ameolewa staa mwingine yeyote kwa siri namna hii hii ingekuwa habari kubwa sana kwa shilawadu clouds na akina Millard Ayo waki speculate sasa wote kimya.
Tambua si kila mtu anafuatiliwa na watu .

Huyo Zamaradi anajulikana na watu wachache sana kwa hiyo hata habari zake hazileti msisimko.


Hapo wangekuwa mastaa kama Wema ,Jokate ,Lulu,Mobeto hizo habari ungezipata Mubashara.
 
Mkuu huyu mbona fomous sana na vip ruge kuna asie mjua???
Wapo wengi tu hawamjui Ruge.

Pia wapo wengi tu hawamjui Zamaradi Mketema.


Na vile vile anaweza kweli akawa anajulikana na wengi lakini akawa hana mvuto wa kufatiliwa habari zake.


Mfano Juma Nature anajulikana sana lakini mvuto wa kufatilia anachokifanya hana.

Anaweza akaachia ngoma lakini watu wasijiangaishe kuitafuta lakini muda huo huo mtu kama Diamond akiachia wimbo ndani ya masaa mawili tu views wanafika 100K+.
 
Back
Top Bottom