Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Wanajamvi leo picha za harusi ya Zamaradi Mketema aliyekuwa mpenzi wa Ruge bosi wa Clouds media akiolewa na bwana mwingine zimeenea mtandaoni.
Cha ajabu nimezungukia page za vijana wa kunyapia Soudy Brown na mwenzie sijaona habari za kunyapianyapia. Kweli nimeamini hakuna uhuru wa habari bali kuna uhuru wa mwenye chombo hivi kweli angekuwa ameolewa staa mwingine yeyote kwa siri namna hii hii ingekuwa habari kubwa sana kwa shilawadu clouds na akina Millard Ayo waki speculate sasa wote kimya.