Habari!
Nahitaji mwanamke wa maisha umri wangu ni miaka 32 nimejiajiri dini yangu ni mkristo
Nahitaji mwanamke mwenye umri wa miaka 23-26yrs , mwenye kujua nini maana ya familia .
Sichagui dini wala kazi lakini awe mcha Mungu.
Anicheki Pm au robertpaul225@gmail.com
Napenda kuwasilisha.
Humu ndani kuna raia wana IQ ndogo kweli...Yaani watu wanashindwa kabisa kung'amua bandiko la Paschal?. Inachekesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine jana tungeshinda game yetu leo tungekuwa wapi?..Kiukweli mentality ya wachezaji wa Chelsea kwenye mechi zinazoweza kutuweka mbali na wapinzani wetu wanaotufuatia ni mbovu sana.. Sijui hii hali itaendelea hadi lini, ni msimu wa tatu mfulululizo sasa kwa team yetu kuingia top 4 inakuwa...
Kwani Waingereza wamewafanya nini? si ni ligi yao? Halafu anaeongoza kwa idadi ya magoli msimu huu pale Chelsea ni Mtanzania au?.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.