Recent content by Tenno

  1. Tenno

    Huyu kaka nampenda, ila siwezi kumwambia

    Mbona mimi cjampata wakunipenda?
  2. Tenno

    Nimegombana na rafiki yangu kwa kuniita "MKURYA" mbele za watu

    Mbona tunawapiga kila Mara mkija kutuibia ng'ombe zetu,chezea sisi kwa rungu ile ya ondati
  3. Tenno

    TCRA fungieni pale kati ya Ney wa mitego haraka

    Wimbo tamu sana ,hata wewe umetoka pale kati
  4. Tenno

    Sijamtongoza kanipa penzi, hali hii tutapata wanawake wa kuoa kweli?

    Story yako kama umekopi kwako ,imenitokea na mimi pia baada ya kumgegeda ananiambia amemsaliti mpenzi wake ,na akarudi tena kwa baada ya cku moja nikamgegeda tena ,sasa mimi nashangaa kweli kuna mapenzi hapo
  5. Tenno

    Kuachwa na mpenzi bila sababu

    Miss Natafuta, Tutafutane ,au ni pm,nimechoka ubachela tuanze maisha Ila uwe tayari kupima vvu
  6. Tenno

    Kijana huna haja ya kuharakisha kuoa eti uwahi kupata watoto usije kuitwa babu

    Jaribu kutofautisha mambo,atakumbukwa kwa makubwa aliyofanya
  7. Tenno

    Nimegombana na rafiki yangu kwa kuniita "MKURYA" mbele za watu

    Wewe mkuria tena wa tarime,mkuriaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...... Tena wewe ni mkuria tena wa shambani kabisa
  8. Tenno

    Nimegombana na rafiki yangu kwa kuniita "MKURYA" mbele za watu

    Mimi ni mjaluoooooooo,tena wa roryaaaaaaaaaaaa mji wa shirati
  9. Tenno

    Ni celebrity yupi anakuvutia sana?

    Lowasa
  10. Tenno

    Natafuta msichana wa kufunga nae pingu za maisha

    Nenda kanisani wapo watoto wazuri na wanaojua maana ya ndoa
  11. Tenno

    Kina kaka na kina dada wa JF . . .

    Tafuta wazaramo
Back
Top Bottom