Ndugu wana jukwaa,
Katika kipindi hiki cha uongozi wa awamu ya 5 chini ya Dk. John Pombe Joseph Magufuli, imeshuhudiwa matumizi makubwa sana ya waandishi wa habari katika kazi za viongozi (mawaziri, manaibu waziri, makatibu wakuu na manaibu wao, wakuu wa taasisi mbali mbali, wakuu wa mikoa na...
Mkuu wa majeshi angejitokeza hadharani kuiaminisha jamii ya watanzania kwamba yuko vizuri ingekuwa nzuri zaidi. Ikiendelea hali hii, habari hizo zitaonekana kama zina asilimia kubwa ya ukweli.
Kwa sababu bado hatujapata chama mbadala KARIBUNI nawatakia kila la heri. Msiwe wasanii kama jina la chama chenu lilivyo. ACT. pigeni kazi huenda mkawa chama mbadala siku za usoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.