Kafulila: Serikali ya CCM inataka kuniua

Kafulila: Serikali ya CCM inataka kuniua

Na kweli hii mijamaa ya chama cha majambazi (CCM) itakuua ndugu TUMBILI uwe makini sana na mienendo mizima ya style ya maisha yako. wewe unamwagia mchanga kitumbua cha wakubwa halafu waendelee kukuangalia tuu hivi hivi kweli??!! haiwezekani kaka TUMBILI.hapa inakubidi umuone Dr Slaa, Tundu Lisu na Mnyika wakuelekeze namna ya kuishi na kuwakwepa hawa wauwaji otherwise utakufa mapema sana hata kwa kumwagiwa tindikali. Zitto Kabwe najua ni rafiki yako lakini usimuamini sana maana yule ni msaliti na anapenda sana pesa anaweza kukuuza muda wowote kwa serikali/CCM. Ila kaka TUMBILI tunashukuru sana kwa kutufumbua macho watanzania kuhusu wizi wa ESCROW ili tuendelee kujielewa vizuri namna ya kuwachinja CCM 2015 kwenye sanduku la kura.....
 
Escrow account ni Pesa za nani? Acheni ujinga.. msivurugwe akili na wasaka umaarufu


Pesa ya serikali ni ya wananchi, ya shirika la umma ni ya wananchi na pesa yoyote itokanayo na shughuli za shirika hilo au serikali ni za wananchi!!!!!

Wananchi kwanza mengine baadaye, kama kuna hoja iwekwe ijitegemee sio kusema pesa sio za wananchi!!!!!!
Wakati authorization ya pesa hizo inafanywa na viongozi wa umma!!!!!!!????

Hoja ya hovyo sana na inatia hasira!!!!!
 
Sheria gani basi inaruhusu kuua japo hao unaodhani ni kwnown?

No one is permitted to ask for this act of killing,either for himself.divine law, an offense against the dignity of the human person,a crime against life,killing and allowing to die is always morally relevant
 
kutetea maslahi ya watanzania ni shida saaaana,badala ya kumuunga mkono Mh D. Kafulila watu tunamdhihaki.
 
Lazima atauawa kwani anataka kuzuia fedha za ESCROW zilizochukuliwa na CCM ili kununulia wapinzani na wapiga kura mwakani. Kama atahurumiwa lazima ang'olewe kucha na meno kama fundisho.
Tena Kafulila asije fikiri kuwa watafanya makosa waliofanya kwa ulimboka na Kibanda. Hawakosei tena. yeye akitaka atulie na kupotezea hii ishu ya escrow!
 
Kafulila naye anaiga siasa za Dr.Slaa na Lema pamoja na Mnyika, hawa viumbe watu wa ajabu sana wameishindwa siasa wanatafuta huruma kutoka kwa wananchi.
 
Maccm kazi kupanga kuuwa tu.

Ule wenu Kafulila afe.

Mnaleta ya Dr. Ulimboka eh!?

Mkuu, nchi hii sisi Watanzania wenyewe ndio tatizo kubwa. Ni kirusi katika taifa letu wenyewe. Ni chanzo cha huu uozo uliokithiri. Huo ndio ukweli mchungu.

Ulimboka alisulubiwa huku kila mtu akijua nani alikuwa behind it. Watz tukaishia kuchonga tu na kutishia nyau without any substance, while the poor Dr was left on his own to toil. Je, Watz hawahawa unategemea watafanya nini endapo Kafulila (or anyone else) atafikwa na similar majanga's?

Kuna incidents za akina Kibanda, Mwangosi (rip), etc....the list goes on. Watz tumefanya nini so far? Zilch!!

Mategemeo yetu inaonekana tumeyaweka sana kwa wanasiasa na wanaharakati lakini sisi wenyewe ni wazito kujitoa muhanga, hata pale tunaposhirikishwa na hawa tunaowategemea. Tunategemea miujiza kutoka kwao.. HOW??

Sisi Watz ni makondoo (makondoo ndiyo unashangaa nini!) yapasa sasa tubadilike tuache talalila. We need to start walking our otherwise boring talk.

Niliyoyasema hapo juu si mapya, kila mtu anayajua lakini si vibaya kuyarudiarudia labda itafika mahala somo litaeleweka!!
 
baada ya kuchemsha bungeni na kukaliwa vibaya na IPTL, sasa anatafuta huruma kwa wananchi. SERIKALI IKUUWE KWA LIPI WEWE!!!!!
 
Kafulila naye anaiga siasa za Dr.Slaa na Lema pamoja na Mnyika, hawa viumbe watu wa ajabu sana wameishindwa siasa wanatafuta huruma kutoka kwa wananchi.

Watz tungekuwa makini watu kama huyu Ritz wasingekuwa na hata pumzi ya kutoa shombo kama hizi....lakini kwa ukondoo wetu dhidi ya mfumo kandamizi they are getting away with it. SHAME ON US!
 
Yeye ni tumbili hata akifa itakuwa sio kesi ya mauaji bali ujangili tu naona anasaka umaarufu kwa nguvu zote
Tanzania ni nchi iliyojaa wajinga wengi sana!watu wasiona ufahamu wa tatizo la nchi,watu wanaowagawa wananchi na wenye kutoa majibu rahisi kwa logical issues!ni ajabu sana,issue kama ya mr.Kafulila sio issue ndogo,huyu kijana analalamika,mwenyewe si chini ya mara mbili namsikia but watu wenye uwezo hapa JF wanasambaza utoto tu,ni aibu kwa nchi kama hii iliyokwama kuwa na vijana wanaofurahia kukwana kwa nchi...watu kama malaria sugu,lizaboni na wengineo wanadhalilisha 'ubinadamu' kiasi kwamba waweza jiuliza kumbe kuna binadamu wa aina hii?.Kwanini logical issues tusiwe pamoja kama taifa?,nawafuatilia sana walipinga richmond scandal,epa pia ufisadi kwenye halmashauri mbali mbali!hivi ni watu hawa?je wanafikiria wanachokiandika kabla ya ku post?....too shame!.
 
Pesa ya serikali ni ya wananchi, ya shirika la umma ni ya wananchi na pesa yoyote itokanayo na shughuli za shirika hilo au serikali ni za wananchi!!!!!

Wananchi kwanza mengine baadaye, kama kuna hoja iwekwe ijitegemee sio kusema pesa sio za wananchi!!!!!!
Wakati authorization ya pesa hizo inafanywa na viongozi wa umma!!!!!!!????

Hoja ya hovyo sana na inatia hasira!!!!!

,
Sio kila pesa uliyonayo mfukoni ni ya kwako, nyingine waweza kuwa umemtunzia mtu tu, na kama mbishi unaweza usimpatie mpaka ushinikizwe na mtu mwingine i.e Mahakama.

Ndugu walio authorize pesa ilipwe si viongozi ni MAHAKAMA, Mahakama ilijiridhisha kuwa pesa ile ni halali kwa mlipwaji sababu ilicheleweshwa tu na Tanesco, kumlipa mwenye zake kwa huduma ya umeme iliozalisha, kama kuna wanasheria mahiri wanaodhani uamuzi huu ulikosewa wakate rufaa wakapinge amri ya mahakama.

Katika hili watanzania tungeitaka serikali ituridhishe kama kodi yetu na malipo mengine ktk malipo haya ilipata? bahati nzuri BOT waliliona hili na kuingia mkataba na mlipwaji kama masharti ya kulipwa, madai yoyote yatakayoletwa juu ya pesa hizo mlipwaji ("Singh") awe tayari kulipa. na mkumbuke pesa zilizotolewa sio za deni lote inalodaiwa Tanesco na mlipwaji!!
 
Malalamiko ya huyu kijana Kafulila ni ya msingi sana,kwa nchi za wenzetu ambazo zinawajika kuhakikisha usalama wa watu wake bila ya kutoa taarifa rasmi ingekuwa tayari organ husika wameanza kufanyia kazi malalamiko yake.lakini kwa nchi kama TZ duh..maisha yake yako hatarini sana maana hapa Tz ndio waona watu wanajichukulia sheria mkono kuua na ata mapolisi wanawapiga risasi watu hovyo tu mfano mauji ya wale vijana wa mahenge,kombe mfano iko mingi sana,hiko mitaani ndo usiseme mwizi wa yai anauwawa but mwizi wa dola 200 milion poa tu!....epa rudisha ela bwana!wanaombwa na kofia kubwa!.Malalamiko ya Kafulila ni ya msingi sana,ndio faida ya kuwa na waendesha mastaka binafsi ktk nchi.
 
malalamiko ya huyu kijana kafulila ni ya msingi sana,kwa nchi za wenzetu ambazo zinawajika kuhakikisha usalama wa watu wake bila ya kutoa taarifa rasmi ingekuwa tayari organ husika wameanza kufanyia kazi malalamiko yake.lakini kwa nchi kama tz duh..maisha yake yako hatarini sana maana hapa tz ndio waona watu wanajichukulia sheria mkono kuua na ata mapolisi wanawapiga risasi watu hovyo tu mfano mauji ya wale vijana wa mahenge,kombe mfano iko mingi sana,hiko mitaani ndo usiseme mwizi wa yai anauwawa but mwizi wa dola 200 milion poa tu!....epa rudisha ela bwana!wanaombwa na kofia kubwa!.malalamiko ya kafulila ni ya msingi sana,ndio faida ya kuwa na waendesha mastaka binafsi ktk nchi.

naona uko kwenye usingizi mzito unaota ndoto tamutamu baada ya kula kiporo cha ugali wa mihogo na migebuka
 
Watz tungekuwa makini watu kama huyu Ritz wasingekuwa na hata pumzi ya kutoa shombo kama hizi....lakini kwa ukondoo wetu dhidi ya mfumo kandamizi they are getting away with it. SHAME ON US!
Wewe lazima utakuwa umetokea Moshi.
 
Tanzania ni nchi iliyojaa wajinga wengi sana!watu wasiona ufahamu wa tatizo la nchi,watu wanaowagawa wananchi na wenye kutoa majibu rahisi kwa logical issues!ni ajabu sana,issue kama ya mr.Kafulila sio issue ndogo,huyu kijana analalamika,mwenyewe si chini ya mara mbili namsikia but watu wenye uwezo hapa JF wanasambaza utoto tu,ni aibu kwa nchi kama hii iliyokwama kuwa na vijana wanaofurahia kukwana kwa nchi...watu kama malaria sugu,lizaboni na wengineo wanadhalilisha 'ubinadamu' kiasi kwamba waweza jiuliza kumbe kuna binadamu wa aina hii?.Kwanini logical issues tusiwe pamoja kama taifa?,nawafuatilia sana walipinga richmond scandal,epa pia ufisadi kwenye halmashauri mbali mbali!hivi ni watu hawa?je wanafikiria wanachokiandika kabla ya ku post?....too shame!.

Usiwaite wa Tanzania ni wajinga isijekuwa mjinga ni wewe, Mtu anatuhumu serikali inataka kummuua, Serikali ni kitu gani 'physicaly' na inakuuwaje. Unaushahiidi kuna polisi, wanasheria, mashirika ya haki za binadamu za kitaifa na kimataifa unapita majukwaani itakusaidia nini. Alimu approach vibaya Werema Bungeni na mwenzie aka "Approvochika" kama alishindwa kumalizana nae huko asituletee u 'yellow' wake huku. Wenzie aliowaudhi wamempeleka mahakamani na yeye kama kuna tishio la kuuwawa apeleke malalamiko yake kunakohusika.
 
taitzo la serikali dhaifu ya ccm hni kushindwa kujibu hoja na kukimbilia kwenye vitisho kwa lengo la kumdhuru mtoa hoja, haya yote ni matokeo ya serikali dhaifu , popte pale duniani serikali ikipoteza uhalali machoni mwa wananchi hujenga HOFU kwa ajili ya kuwadhoifisha wanao ikosoa, lakini CCM mwisho wenu unakaribia mmetunyonya vya kutosha na pili mmeiba vya kutosha jamani tumechoka, kafulia usihofu ss kama wananchi tuko nyuma yako kwa lolote lile na mungu yuko pamoja, usihofu kuwa jasiri sauti ya watanzania iko pamoja na wewe
 
Back
Top Bottom