Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Nafikiri G.Brain alikuwa anataka kutofautisha kati ya NGO na Political Parties sasa kwa kuwa uwezo wake wa kufikiri ni mfinyu akajikuta anachanganya kati ya Activists na NGO coz hata utetez anaotoa hauendan na hoja yake ya wanaharakat bali anamaanisha CDM ni NGO.
Activists, Political Parties na NGO wako kundi moja la CSO. GB nitafute nikuelimishe USIROPOKE TU.
Activists, Political Parties na NGO wako kundi moja la CSO. GB nitafute nikuelimishe USIROPOKE TU.