Masikini Prof. Kitila Mkumbo: Ndio basi tena!

Masikini Prof. Kitila Mkumbo: Ndio basi tena!

Si kwel kuwa anayoandika prof ni kinyume na mapenzi yake bali ndo alokusudia akidhan anawakomoa cdm na kuwafurahisha ccm

c'mon guy!why do you think so!? honestly on you I see no more than speculations
 
Hivi mliwahi kujiuliza kwa nini wakati Prof Mwesiga Baregu akinyimwa ajira UDSM eti kwa kuwa mjumbe wa KK ya CDM, wakati huo huo Dr Kitila Mkumbo hakuguswa, na infact aliachiwa akagombea na kiti cha UDASA? Fikirisha ubongo kidogo mtamuelewa Dr Mkumbo.

Naweka kumbukumbu sawa. Bargu alikuwa ameshastaafu kwa mujibu wa sheria, kuna utaratubu wa kuwapa mkataba wataalam waliostaafu.... sasa kama mwajiri wako kaamua kutokuongezea mkataba utamlaum?
 
ila huyu si mwanziishi wa ACT kwanini asiandike makala ya chama chake na kukisifa na misingi yao hiyo isitekelezeka?
 
kitila mkumbo amewangusha wapiga kura wake ktk jimbo la iramba magharibi,
 
Maprofesa wanategemewa kuandika makala za kuchambua 'issues'; siyo watu!
 
... nimejifunza mambo kadhaa ya msingi.

1.Kumbe bado tunao wataalam ambao wanaweza kuthubutu kuusema ukweli hata kama unaenda kinyume na mapenzi yao.

2. Kumbe bado kuna wanasiasa ambao wanaweza kuusema ukweli hata kama ukweli huo ni mchungu na ni "threat" hata kwao wenye.

3. Kumbe msomi anaweza pia kuwa mdau wa siasa na asipoteze tabia za kitaalam (Intellectual virtues) kama vile Fair mindedness na critical thinking& analysis.

...

Kuna somo jingine katika siasa inabidi ujifunze pia ili kukuongezea maarifa. Katika siasa, kusema ukweli au uongo sio suala la msingi. Cha maana ni huo "ukweli" au "uongo" una lengo gani kimkakati na unakuainisha vipi kimsimamo? Ujue siasa ni mikakati tu katika kufikia malengo; yawe mema au maovu. Usishangae; uongo unaweza kufanikisha malengo mema na ukweli ukafanikisha malengo maovu - na hapo ndipo ubora na umaaluni wa mtu hujulikana. Hadi hapo jiulize huo "ukweli" anaouandika Dr. Kitila unaibua nini kipya ambacho hakikujulikana? Unalenga nini? Unamuweka wapi kimsimamo? Na unamuainisha na kumbainisha kama mtu wa aina gani?
 
Katika siasa, kusema ukweli au uongo sio suala la msingi. Cha maana ni huo "ukweli" au "uongo" una lengo gani
kweli mkuu, wana sema suala ni nia.Unaweza hata kuona mtu akimwagia tindikali mwenzake halafu akadanganya ni mwenzake, hapa jambo hilo si shida, shida ni nia ya muhusika, inawezekana ana nia njema tu.
 
Maprofesa wanategemewa kuandika makala za kuchambua 'issues'; siyo watu!

Unadhani ni jambo linalowezekana kuchambua siasa bila kuwataja wanasiasa wenyewe katika uchambuzi wako? kama ndio, hebu tuletee uchambuzi wa namna hiyo kama sampuli. Sory hivi wewe si prof.
 
Ni vizuri umekiri.

Ndo kama nilivyokueleza sasa, we unasemaje?


Yeah! ndio mimi,sasa unataka nini? ngumi! kama vipo futa mstari uone!


Wakuu hii itakuwa ni lile pambano la Zena V/s Betina au WWE ama Desert Force? Jamani siasa zisitufikishe huko, hata kama umeumbuliwa, jipange upya kwa ID nyingine huku ukijifunza kuvumiliana!!
 
Back
Top Bottom