Mtoa mada wewe ni muongo sana na una lengo baya na benki ya crdb kwa kutoa taarifa za uongo. Yaani akaunti ni ya USD alafu umekatwa TShs hii wewe ulishaona wapi
Naona kazi za siku hizi zinagawiwa kama njugu mawe. Haziangalii taaluma kabsa ndo maana ufahisi wa kazi inakuwa ngumu sana kutoboa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.