Recent content by tebweta

  1. tebweta

    Naishi Mbagala Nzasa kwa Mwarabu, katika eneo ninaloishi pamoja na wakazi wenzangu hatuna huduma ya maji ya DAWASA

    Mnaishi kama mpo kijijini hapa ni mjini Siku nyingine wakija hao jamaa Kaeni nao bar ... Kisha myajenge nao kuhusu maokoto Na nyie kaeni chini undeni umoia wa waathirika wa maji Kisha waiteni ...muwaonyeshe mzigo ..muone kama wiki itafika Ukiwa na mgonjwa wako hospital za serikali kisha...
  2. tebweta

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nimenunua umeme kupitia tigo pesa... Tokea saa 8 na dakika 10 Leo tar 20 .12 2023 Sijapewa token Miter no ..24219180114
  3. tebweta

    Prof. Janabi: Kama Mwanaume unavaa Suruali zaidi ya Size 40 na Mwanamke size 35 Afya yako iko hatarini

    Ukitaka kufa haraka nenda kaonane na hawa jamaa katika kitengo chao.. Utaambiwa kupima echo 300,000 kupima kipimo cha ECG 80,000 kupima figo 150,000 kumuona daktari 100,000 alafu wanakuambia dose zake zinapatikana Buguruni tu nenda kaulize bei kidonge kimoja 700 kwa nini usife haraka . hawa...
  4. tebweta

    Waarabu kiasili ndio wavamizi wa ardhi ya Israeli na Afrika Kaskazini

    Waliokimbia vita pale henzi izo ni Waisrael weusi inasemekana mpaka leo bado awajarudi pale Wale waliopo hivi sasa pale wanaojiita ni Waisraeli kina nyetanyau wale ni wazungu ...ni baada ya miaka 2000 kupita ndio wakajikusanya kikundi cha wahuni wakarudi pale ili kuwadhibiti Waarabu...
  5. tebweta

    Waarabu kiasili ndio wavamizi wa ardhi ya Israeli na Afrika Kaskazini

    Mke mdogo wa Ibrahim ni Mwarabu Bibi Hijra na yeye alikwenda kwao Misri kwenda kumtafuta mke mwanae ismael Ivyo basi ismael alioa Mwarabu wa Misri Pale kanani kulikuwa na kizazi cha kiarabu cha ismael
  6. tebweta

    Msaada: Nasumbuliwa na tatizo la moyo

    nakushauri kitu kimoja kwanza, Moyo umetanuka doctor amekwambia nini chanzo cha moyo kutanuka,,, Mimi nilikutana na mambo kama hayo 2014,2015,2016,2017,2018 nimezunguruka kika kona NIMEPIMA colestral , hb,ECG, valve, Sukari,presha,Echo...Xray,, Nikatoka hapo kikaenda clinik za tiba mbadala...
  7. tebweta

    Tumuelewe nani sasa Kati ya hawa wawili kuhusu mabehewa ya treni

    Yule muhehe mtani wangu ,anasema ni mapya kabisa alafu ni ya ghorofa,,, Anaongea huku akiwafokea watanzania waache upotoshaji,, Sisi kosa letu ni nini ? Wanaongea wenyewe wanakanusha wenyewe ...bunge lipo kimya hata wawakirishi wetu wanaokula kodi zetu bungeni ,,,awatupi majibu ya kueleweka...
  8. tebweta

    Zanzibar Nungwi kimewaka

    Nyie ndio mnaotusababishia TCRA Kutupiga Ban Tanzania nzima kwa kuhofia kuna watu ukimbilia kutoa taarifa za kubumba Kisha mnatengeneza taharuki katika jamii kwa habari za uwongo uwongo tu,,
  9. tebweta

    Zanzibar Nungwi kimewaka

    Mtu muongo utamjua tu, Kila anachokiandika inasemekana inasemekana bila kutaja chanzo cha habari Unafikiri humu ni facebook Taarifa umezipata kutoka chanzo kipi cha habari ebu toa maelezo acha kuleta ugolo humu..
  10. tebweta

    GE2020 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa apita bila kupingwa jimbo la Ruangwa. Akabidhiwa barua na Msimamizi wa Uchaguzi

    Mfumo wa dunia unataka vyama vingi lakini Africa tumeupokea mfumo wa vyama vingi kwa shingo upande haiwezekani kabisa wapinzani pekee yao ndio wanakoseaga kujaza fomu lakini ccm wazee wa ndio wao ndio akili kubwa awakoseagi kujaza fomu hata mgombea mmoja kweli Ina maana ccm hakuna mburura hata...
  11. tebweta

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nahisi kuna hujuma inatengenezwa Tanesco dhidi ya serikali haiwezekani kila siku ifika saa 8 au 9 usiku umeme Bunju unakatwa alafu unarudishwa alfajiri. Yaani katika mazingira yetu ya uswahili hiyo ndio mida ya wezi na Wanga Alafu Tanesco ndio mida yao ya kukata umeme kila siku iendayo kwa...
  12. tebweta

    Darasa Huru: Ufundi Laptop (Beginners To Advanced) PART 2 EP01: Tuijue Laptop Na Tuifungue Kisha Tuifunge

    Nimetimiza wajibu wangu katika uzi huu nimejifunza mengi sana, Ngoja na mm niulize la kwangu PC hp elite book 6930p touch Bluetooth haifanyi kazi tatizo ni nini Pembeni kulia kwa chini ipo alama ya bluetooth Kwenye screen ya pc Lakini haisomi kitu nipeni maujanja hapa ndio kwanza naanza...
  13. tebweta

    KWA WAUZAJI WA VIPULI VYA MAGARI MAKUBWA

    Wauzaji tupo wengi tu humu Mm nipo Tabata dampo nauza power steering na kurepair power steering pump na steering box Heavy Truck machine Scania, mann, benz, straliz, Daf CF ERF, international, peterbelit, loiz loiz, fletliner nk.
  14. tebweta

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco naombeni mnipe ufafanuzi, ni kwa nini? Tabata dampo magerage kila siku umeme mnakata asubuhi unarudishwa usiku, tatizo ni nini? Ina maana huu mgao wa umeme upo tabata magerage pekee yake au kunani? Eneo la jirani matumbi umeme upo Eneo la jirani kigogo pale ukivuka tu daraja la...
Back
Top Bottom