richard77
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 314
- 376
Zanzibar maeneo ya Nungwi inasemekana hali imekua sio nzuri, kumechafuka yaani risasi na mabomu yanarindima, hii ishu ilianza baada ya adhana kulia saa 11:06 ambayo sio muda maalumu wa adhana, tuombee ndugu zetu waliopo huko Nungwi.
===
Raia wamedaiwa kuzuiwa kupiga kura hali inayozua taharuki ya kupelekea ghasia zinazoendelea katika mji huo.
Imedaiwa vyombo vya usalama wanawatoa watu ili wao ndio wapige kura katika vituo.
===
Raia wamedaiwa kuzuiwa kupiga kura hali inayozua taharuki ya kupelekea ghasia zinazoendelea katika mji huo.
Imedaiwa vyombo vya usalama wanawatoa watu ili wao ndio wapige kura katika vituo.