Darasa Huru: Ufundi Laptop (Beginners To Advanced) PART 2 EP01: Tuijue Laptop Na Tuifungue Kisha Tuifunge

Asante sana mtoa mada...... Uzi umeenda vizur kabisa....
Kwa kuongezea tu hapo ukitaka kufungua charger ya laptot haina haja ya kuvunja, chukua petrol na kitambaa. Loweka kitambaa kwenye petrol then pakaza hiyo petrol kwenye mstari wa maungio ya hiyo charger...
Hapo ni dk 1 tu utaona ile mistari inafumuka vizuri kabisa bila kutumia nguvu.


Tahadhari ni muhimu sana wakat unataka kufanya repair ya adapter, umakin unahitajika sana maana AC part ya power supply inafanya rectification kubwa sana ya umeme na madhara yake ni makubwa.
Please handle this with care and precautions.

Asante
Asante Mkuu Umenifumbua Pia, Nilikuwa Natumia Petrol Kwenye Kujua Shorted IC.

Asante Kwa Hili
 
Habar mwalimu wa computer
naomba kujua njia ya kufanya Ili desctop yangu isile umeme
shukrani
 
Nimetimiza wajibu wangu katika uzi huu nimejifunza mengi sana,
Ngoja na mm niulize la kwangu
PC hp elite book 6930p touch
Bluetooth haifanyi kazi tatizo ni nini
Pembeni kulia kwa chini ipo alama ya bluetooth
Kwenye screen ya pc
Lakini haisomi kitu nipeni maujanja hapa ndio kwanza naanza kutumia PC..
 
Mkuu mimi laptop yangu kioo kinawaka ila kina rangi rangi ya orange inatokea kwenye screen tatizo linaweza kuwa ni nini
 
Asante sana mtoa mada...... Uzi umeenda vizur kabisa....
Kwa kuongezea tu hapo ukitaka kufungua charger ya laptot haina haja ya kuvunja, chukua petrol na kitambaa. Loweka kitambaa kwenye petrol then pakaza hiyo petrol kwenye mstari wa maungio ya hiyo charger...
Hapo ni dk 1 tu utaona ile mistari inafumuka vizuri kabisa bila kutumia nguvu.


Tahadhari ni muhimu sana wakat unataka kufanya repair ya adapter, umakin unahitajika sana maana AC part ya power supply inafanya rectification kubwa sana ya umeme na madhara yake ni makubwa.
Please handle this with care and precautions.

Asante
Ahsante mkuu
 
Back
Top Bottom