Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,063
- 11,109
Kuna uwezekano wa kibadili body ya juu kupata mpya?
Kuna uwezekano wa kibadili body ya juu kupata mpya?
Asante Mkuu Umenifumbua Pia, Nilikuwa Natumia Petrol Kwenye Kujua Shorted IC.Asante sana mtoa mada...... Uzi umeenda vizur kabisa....
Kwa kuongezea tu hapo ukitaka kufungua charger ya laptot haina haja ya kuvunja, chukua petrol na kitambaa. Loweka kitambaa kwenye petrol then pakaza hiyo petrol kwenye mstari wa maungio ya hiyo charger...
Hapo ni dk 1 tu utaona ile mistari inafumuka vizuri kabisa bila kutumia nguvu.
Tahadhari ni muhimu sana wakat unataka kufanya repair ya adapter, umakin unahitajika sana maana AC part ya power supply inafanya rectification kubwa sana ya umeme na madhara yake ni makubwa.
Please handle this with care and precautions.
Asante
Ahaaaah aaaaaah Tatizo La Wengi Dawa Ni ScrewCabin. Tafuta Hata Haya Mabakuli Ya Msoc Buku 2 TuME NATI NDO HUW ZNABAKI SAANA
Asante Mkuubrother upo makini sana ni wachache kama wewe
Hp folio 9470m nataka nivishe case mpya mana imepata michubuko.Inapiga kazi vizuri ila sura yake imeanza kuniboaAina Gani Ya PC Mkuu?
Brand Na Model
Hili sina ndugu jaribu kuangalia kariakoo Aggrey, Ukikosa Wasiliana Na Mwalimu RCT UagizeHp folio 9470m nataka nivishe case mpya mana imepata michubuko.Inapiga kazi vizuri ila sura yake imeanza kuniboa
Naunga mkono hojaUpo vizuri ila naona ukiiweka kwenye Uzi mmoja inapendeza zaidi, muhimu ni kuweka namba ya page uhusika ya topic flani inaanzia wapi.
Ahsante mkuuAsante sana mtoa mada...... Uzi umeenda vizur kabisa....
Kwa kuongezea tu hapo ukitaka kufungua charger ya laptot haina haja ya kuvunja, chukua petrol na kitambaa. Loweka kitambaa kwenye petrol then pakaza hiyo petrol kwenye mstari wa maungio ya hiyo charger...
Hapo ni dk 1 tu utaona ile mistari inafumuka vizuri kabisa bila kutumia nguvu.
Tahadhari ni muhimu sana wakat unataka kufanya repair ya adapter, umakin unahitajika sana maana AC part ya power supply inafanya rectification kubwa sana ya umeme na madhara yake ni makubwa.
Please handle this with care and precautions.
Asante