Zanzibar Nungwi kimewaka

Zanzibar Nungwi kimewaka

Mtu muongo utamjua tu,
Kila anachokiandika inasemekana inasemekana bila kutaja chanzo cha habari
Unafikiri humu ni facebook
Taarifa umezipata kutoka chanzo kipi cha habari ebu toa maelezo acha kuleta ugolo humu..
Chanzo ni ndugu zangu waliopo huko
 
Zanzibar maeneo ya Nungwi inasemekana hali imekua sio nzuri, kumechafuka yaani risasi na mabomu yanarindima, hii ishu ilianza baada ya adhana kulia saa 11:06 ambayo sio muda maalumu wa adhana, tuombee ndugu zetu waliopo huko Nungwi.

===
Raia wamedaiwa kuzuiwa kupiga kura hali inayozua taharuki ya kupelekea ghasia zinazoendelea katika mji huo.

Imedaiwa vyombo vya usalama wanawatoa watu ili wao ndio wapige kura katika vituo.
Aisee, hatari Sana hii, siku zote mchezo Kama haukuchezwa vizuri lazima madhara yaonekane, uchaguzi baada ya kua ni furaha unakua karaha
 
chanzo ni ndugu zangu waliopo huko
Nyie ndio mnaotusababishia TCRA Kutupiga Ban
Tanzania nzima kwa kuhofia kuna watu ukimbilia kutoa taarifa za kubumba
Kisha mnatengeneza taharuki katika jamii kwa habari za uwongo uwongo tu,,
 
Nyie ndio mnaotusababishia TCRA Kutupiga Ban
Tanzania nzima kwa kuhofia kuna watu ukimbilia kutoa taarifa za kubumba
Kisha mnatengeneza taharuki katika jami
i kwa habari za uwongo uwongo tu,,
Mkuu habari ni ya kweli.
 
Adhana imelia saa 11:06!!! Shekh huo mtihani shekh wangu
 
Back
Top Bottom