Recent content by Tayseer

  1. T

    Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

    Mara nyingi napata tabu kusikia humu ni nyumba ya great thinker kwa kuwa tabia za watu wengi humu si wazuri kufikiri, kujenga hoja na wengi ni wadandia hoja. Kwenye bandiko langu nilijaribu kuweka maelezo kuhusu Quran lakini pia nilisema moja ya mafundisho ya Mtume Muhammad kwa waumini wa...
  2. T

    Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

    In Islam, we are taught that God has given us a mind and the faculty of reason to look at things objectively and systematically for ourselves. To reflect, then to question, to reach the truth. Religion should not be accepted blindly, as some religions seem to do. In those religions, you are...
  3. T

    Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

    Kwanza ni jambo nzuri kupata mjadala kama huu, lakini napenda kuonyesha mleta mada hii haikuwa mtu wa kwanza kujadili mada hii kwa kuwa hata yeye amekwenda kuchukua sehemu nyingine na nitaweka source mojahapa Answering Muslims: 2011 UONGO WA MTUME MUHAMMAD NA QURAN KUHUSU KUPASUKA KWA MWEZI NA...
  4. T

    Nawauliza wana Simba wenzangu, Mohamed Dewji aliwahi kufanikisha lipi kwenye soka?

    Nafikiri kusema ni juu yangu utakuwa umekosea sana mimi nimepata muda wa kupitia maelezo na ukifananisha na hali ilivyo sasa naona ipo haja ya kwenda kwenye mfumo mwingine "muda ndio msema kweli"
  5. T

    Nawauliza wana Simba wenzangu, Mohamed Dewji aliwahi kufanikisha lipi kwenye soka?

    Ni ngumu sana kujadili kitu ambacho hujakiona wala kisoma napata shida kujadili hili, lakini ufahamu uwekezaji wa Mo kwa Simba siyo wa mtu ni kampuni so hata kama Mo akifa still mkataba utabaki mpaka miaka mitano ndio utakuwa unapaswa kujadiliwa upya uvunjifu wa mkataba huu pande zote zitahitaji...
  6. T

    Nawauliza wana Simba wenzangu, Mohamed Dewji aliwahi kufanikisha lipi kwenye soka?

    Moja ya kufanya mabadiliko ni ku risk hakuna jambo lolote ambalo unaweza fanya na hasa kwenye uwekezaji bila ku risk So mimi na fikiri kama Simba wamehitaji kuendelea au kubadilisha mfumo wa uendeshaji shughuli za club ni lazima wakubali ku risk Ukisema Mo alishindwa kuendesha vilabu fulani...
  7. T

    Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

    Ukisoma vizuri sifa za Mungu wakati alipo muumba Adam utaona kwanini Adam alichaguliwa kuwa kiongozi wa dunia kwa kuwa baada ya Adam kuumbwa Mungu alimrudhuku Adam kwa kumpatia akili pamoja na yakini. Sasa akili ndio hii ambayo inatupa utashi wa maamuzi kwenye matendo yetu ya kila siku kwenye...
  8. T

    Kama tunaaminishwa kuwa Mungu hakosei inakuwaje hakuna kiumbe mkamilifu chini ya jua?

    Kuna mchangiaji mmoja nimeona amejaribu kuweka tofauti vizuri tunapo taka kujadili kuhusu Mungu ni lazima kuwepo na utengano wa uhalisi na kiroho. Mjadala wa uweza wa Mungu hauwezi pimwa kwa muonekano wa uumbaji wake kwa kuwa kwenye maandikao mengi amekuwa ana kumbusha moja ya sababu ya tofauti...
  9. T

    *Mkulima wa Matunda soma hapa*

    Pears unachukua na vp bei yenu je pia limao mwahitaji na kwa wingi gani?
  10. T

    Mtanzania Maskini

    Mara tatu chakula bora? Kwa hiyo kipimo cha umasikini ni kwenye kula mlo bora tena mara tatu?
  11. T

    Mtanzania Maskini

    Habari wadau Kumejengeka tabia kwa viongozi wetu wengi kutumia neno mtanzania maskini, au mwananchi maskini Matumizi ya maneno hayo kwangu mimi naona imekuwa kama kichaka cha kuficha mambo muhimu. Je ni vigezo gani hasa vinatumika kutambua huyo mtanzania maskini? Je vipimo hivyo vina usahihi...
  12. T

    Mimi ni Dalali: Niulize chochote unachohitaji au unachotaka kuuza au kununua

    Nina viwanja Eneo Mapinga Size vipo kuanzia 1200sqr mita na kuendelea zaidi pm
  13. T

    Kumbukizi: Miaka 6 sasa hatupo na Muammar Gaddafi!

    Kaka yangu Paskali nimependa sana andiko lako, na hasa ulipo jaribu kumuelekeza bwana Professor, ukweli ni kwamba mara nyingi tunapenda kubisha vitu ambavyo havina msingi, hata mara nyingine unapata tabu sana kwa wasomi kutuangusha kama ulivyo sema Ukweli utabaki kuwa Gadaffi alikuwa ni nguzo...
  14. T

    Sudan kusini ina uwezo wa kupeleka mafuta yake zambia kupitia Dar kwa bomba ikitaka

    Mafuta ya Uganda ambayo wanataka kupitisha kwa bomba kwenda Tanga ni ghafi yanatakiwa kwenda kusafishwa ili wapate aina tofauti za Mafuta ambayo tunazifahamu kama desel,petro, mafuta ya taa na kadhalika kwa maana nyingine bado yajawa tayari ya matumizi na bomba la mafuta la tazama hili lina...
Back
Top Bottom