Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
- Thread starter
- #141
Tme will tell , sisi tunatoa tip tu , ni juu yako kuchanganuaNi ngumu sana kujadili kitu ambacho hujakiona wala kisoma napata shida kujadili hili, lakini ufahamu uwekezaji wa Mo kwa Simba siyo wa mtu ni kampuni so hata kama Mo akifa still mkataba utabaki mpaka miaka mitano ndio utakuwa unapaswa kujadiliwa upya uvunjifu wa mkataba huu pande zote zitahitaji kulipa.
Pili pesa za uwekezaji wa mtaji wa 20b huu hautolewi kidogo kidogo na fikiri hufahamu kuwa hizi zitatolewa wakati tu atakapo kabidhia timu na imeonyesha jinsi gani pesa hizo zitakwenda kufanya kazi na hizi siyo za kulipa mshahara na gharama nyingine hizi zitakuja kupata faida yake ndani ya miaka mitano.
Mwisho ukisema nitazame account za simba sijui watafuta point gani huko mtaji wa simba siyo pesa coz hazipo, ila mtaji wao ni brand,fun base,propertise na wanachama sasa hii ndio wana value na inakupa thamani ya klabu siyo pesa walizo nazo kwenye account
Hata wewe leo hii ukitaka kufanya tathimini yako huwezi kuhesabu pesa ulizo nazo kwenye account but watu wanatazama properties zako na ubunifu wako ndio wana value thamani yako