Recent content by Tatizopesa

  1. T

    Mpenzi wangu anapenda ngono sana, nashindwa kumhimili

    Ningempata huyo ninge enjoy Sana, Nina mwanamke ni mvivu balaa mpaka nawaza Kuwa na mke mdogo!
  2. T

    Mke wangu ananikera anataka attention yangu kila saa

    Miaka zaidi ya kumi aise umepata mke, Umenifanya nimemkumbuka xwangu alikuwa ananiganda nikawa naona kero ndiyo nikamtafutia sababu mtoto wa watu nikamkimbia , Ila haya majanga ambyo ninayo Acha tu, Shika sana apo ulipo ukimbadilisha utajuta.
  3. T

    Ninatafuta wachoraji wa picha kama hizi za rangi ya maji

    Nenda ista mtafute @mariamrabii5 yuko vizuri Sana kwenye hizo, Anayeigiza kwenye tamthilia ya AHADI.
  4. T

    Maeneo gani ni mazuri kwa kuishi na familia hapa DsM

    popote panafaa kwan utulivu wa familia unaanza na wewe, Nyumba ikiwa na fence ni nzuri Sana kwa familia hata ikiwa Kule buza kwa mpalange.
  5. T

    IGP, Mauaji yaliyotokea Dar Free Market yachunguze kwani kuna utata mwingi

    Hata ingekuwa kaiba Nokia ya touch wacha wafe tu, wezi wanakera Sana alafu ndiyo wanajion wajanja wa mjini.
  6. T

    Mwaka wa 3 mzee huyu anahangaikia mafao yake PSSSF bila mafanikio

    Kila mmoja huwaambia hivyo, wamekaa kiujanjaujanja tu!
  7. T

    Ukweli mchungu kutoka kwa malkia wa nguvu kwa single mothers

    Unaweza ukajiona upo sawa Ila wanaokuzunguka wakaziona kasoro zako, Kwa wanawake wengi waliyolelewa na single mother wengi wao pia huishia kuwa single mother kwa ajili ya viburi na wao kujiona wanaweza.
  8. T

    Mtaji Hautakufuata Hapo Ulipo, Mtaji Wa Uhakika Unaweza Kuupata Kwa Njia Hii Moja Ya Uhakika.

    Ha ha haaa, hawa ndiyo wanapenda kuwaambia wenzao wajiajiri, huku wao wapo ndani ya ajira!
  9. T

    Fridge la mtumba v\s la dukani

    Demu mtumba ndiyo yupoje naona inafikirisha.
  10. T

    Hivi ni kweli wanaume hawapendi kuombwa hela?

    Wengi wenye tabia hizo kupitiliza huwa wanatumiwa na kuachwa!
  11. T

    Je, utakuwa umepata hasara ya shilingi ngapi?

    Jibu sahihi ni c. 10,000/
Back
Top Bottom