Maafisa elimu kata ambao mwongozo wa sensa kitaifa unaelekeza wangeshiriki mafunzo kuanzia ngazi ya mkoa Hilo halijafanyika kwa mkoa wa shinyanga kwa wilaya ya shinyanga DC, MSALALA, USHETU,KISHAPU , hizi ni baadhi ya sehemu nilizofuatiliwa.
Kuvunja maelekezo ya mkoa hiyo haikubaliki.
Acha uongo , Kama wewe ni kilaza lazima incomplete ikuhusu.
SAUT wapo makini sana , ndo maana ukiwa mzembe lazima upate shida.
SAUT Ina vyuo wenza zaidi ya 10 Tanzania bara, hivyo unapotoa ushauri wako usidhani hatujui SAUT ilivyo.
Motto wa chuo ni NO FEE NO SCHOOL, Kama hujajipanga usiende...
NMB imesitisha rasmi huduma ya salary advance kwa mwezi June, 2022.
Hii night kutokana na kukopwa kwa kiasi kikubwa na kusababisha kushindwa kujiendesha.
Mtumishi mmoja wa NMB anadai hali ni Tete katika bank hiyo.
SALARY ADVANCE YASITISHWA RASMI
Salary advance jhuduma iliyokuwa inatolewa na nmb imesitishwa , hii imetokea mwezi huu June 2022.
Bado tatizo halijajulikana.
Nmb tunaomba ufafanuzi
Serikali kutopeleka fedha ya elimu bure kwa shule za sekondari na msingi kwa mwezi May 2022 kumesababisha usumbufu mkubwa kwa taasisi hizo kwani wameshindwa kununua vifaa vya shule, kukarabati majengo na vitu mbalimbali shuleni.
Serikali ni vyema ikatoa tamko kama imesitisha kutoa fedha ya...
Uchaguzi wa kocha una vigezo vingi, tusiwaingilie viongozi kwenye mchakato huo.
Kamwe haitatokea kuingilia mchakato huo Kama walivyoajiri makocha waliopita.
Acha kuwatukana viongozi Kama ni ushauri toa
Huyo no Rais wa heshima wa Simba ambaye atajulikana Kama Dr Mohamed dewji baada ya kutunukiwa udaktari wa heshima na George Town University (USA)
Huyu jamaaa ni hatari kwani ametoa hotuba ambayo imewafanya wanachuo na dunia nzima kuamini kuwa huyu ni msomi mbobevu.
Dr mo dewji Ana kipaji Cha...
Joseph selasini nadhani aliyoeleza yanakaribiana na ukweli kwani katika utawala wa mwendazake James mbatia alikuwa akifanya ziara mikoani kuimarisha chama chake huku akipokelewa na wakuu wa mikoa,. Mfano mzuri alipofanya ziara mkoa wa mbeya alipokelewa na mkuu wa mkoa wa wakati huo CHALAMILA
Bank teller dirisha la cheque (Hundi) NMB - Manonga mkoani Shinyanga anapaswa ajirekebishe kutokana na utendaji wake kazi usioridhisha
Muda mwingi ofisi yake inabaki ikiwa hakuna mtu na hii inapelekea Hundi zinakaa hadi siku nne bila kupata huduma. Kwani anarundika Hundi za siku moja au mbili...
Hii ni habari ya kusikitisha Sana kwa uongozi wa Don bosco-didia Shinyanga ukiongozwa na fr OMONDI ambaye ni mkenya kurudisha wanafunzi baada ya kumaliza likizo ya pasaka April 2022.
Kwa taarifa ni kwamba wazazi ambao watoto wao wamerudishwa nyumbani na hivyo kukosa masomo wamelipa Ada yote ya...
Hii ni habari ya kusikitisha Sana kwa uongozi wa Don bosco-didia Shinyanga ukiongozwa na fr OMONDI ambaye ni mkenya kurudisha wanafunzi baada ya kumaliza likizo ya pasaka April 2022.
Kwa taarifa ni kwamba wazazi ambao watoto wao wamerudishwa nyumbani na hivyo kukosa masomo wamelipa Ada yote ya...
Bank teller dirisha la check NMB - Manonga mkoani Shinyanga anapaswa ajirekebishe kutokana na utendaji wake kazi usioridhisha kwani muda mwingi ofisi yake inabaki ikiwa hakuna mtu na hii inapelekea check zinakaa hadi siku nne bila kupata huduma. Kwani anarundika check za siku moja au mbili bila...
Hii imethibitisha katika mechi ya Simba vs Dodoma jiji.
Kila Zama na wakati wake , kipindi chake kimeisha, pia na umri umemtupa mkono wa kuendelea kumuamini.
Mechi ijayo na RS BERKANE kocha tafadhali usitupe presha. Nadhani tumeona makosa aliyoyafanya dhahiri ambayo Kama Dom jiji wangekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.