tatamajuva
Member
- Sep 11, 2019
- 74
- 83
Huyo no Rais wa heshima wa Simba ambaye atajulikana Kama Dr Mohamed dewji baada ya kutunukiwa udaktari wa heshima na George Town University (USA)
Huyu jamaaa ni hatari kwani ametoa hotuba ambayo imewafanya wanachuo na dunia nzima kuamini kuwa huyu ni msomi mbobevu.
Dr mo dewji Ana kipaji Cha hali ya juu Sana, ndiyo maana hapendi kuropoka hovyo Kama yule jamaa wa upande wa pili.
Huyu jamaaa ni hatari kwani ametoa hotuba ambayo imewafanya wanachuo na dunia nzima kuamini kuwa huyu ni msomi mbobevu.
Dr mo dewji Ana kipaji Cha hali ya juu Sana, ndiyo maana hapendi kuropoka hovyo Kama yule jamaa wa upande wa pili.