tatamajuva
Member
- Sep 11, 2019
- 74
- 83
Hii ni habari ya kusikitisha Sana kwa uongozi wa Don bosco-didia Shinyanga ukiongozwa na fr OMONDI ambaye ni mkenya kurudisha wanafunzi baada ya kumaliza likizo ya pasaka April 2022.
Kwa taarifa ni kwamba wazazi ambao watoto wao wamerudishwa nyumbani na hivyo kukosa masomo wamelipa Ada yote ya muhula wa Kwanza na hivyo wanaeubiri kumaliza muhula wa pili.
Aidha, fr huyo amekuwa akileta usumbufu mkubwa kwa wanafunzi kwa kusema kwavile yeye ni mkenya na kwao utaratibu wa kulipa Ada nusu muhula haupo ila ni hapa Nchini Tanzania tu.
Sababu nyengine anayowaelekeza wanafunzi hao ni kwamba muhula wa Kwanza utakuwa na likizo ndefu kutokana na sensa hivyo anahitaji walipe Ada yote.
Hii ni ukiukaji wa taratibu za uendeshaji shule zisizo za serikali kulazimisha ada yote ilipwe mwaka mzima.
Kwa taarifa ni kwamba wazazi ambao watoto wao wamerudishwa nyumbani na hivyo kukosa masomo wamelipa Ada yote ya muhula wa Kwanza na hivyo wanaeubiri kumaliza muhula wa pili.
Aidha, fr huyo amekuwa akileta usumbufu mkubwa kwa wanafunzi kwa kusema kwavile yeye ni mkenya na kwao utaratibu wa kulipa Ada nusu muhula haupo ila ni hapa Nchini Tanzania tu.
Sababu nyengine anayowaelekeza wanafunzi hao ni kwamba muhula wa Kwanza utakuwa na likizo ndefu kutokana na sensa hivyo anahitaji walipe Ada yote.
Hii ni ukiukaji wa taratibu za uendeshaji shule zisizo za serikali kulazimisha ada yote ilipwe mwaka mzima.