tatamajuva
Member
- Sep 11, 2019
- 74
- 83
Hii imethibitisha katika mechi ya Simba vs Dodoma jiji.
Kila Zama na wakati wake , kipindi chake kimeisha, pia na umri umemtupa mkono wa kuendelea kumuamini.
Mechi ijayo na RS BERKANE kocha tafadhali usitupe presha. Nadhani tumeona makosa aliyoyafanya dhahiri ambayo Kama Dom jiji wangekuwa makini, tungezungumza mengine.
Tulidhani labda alitaka kutufungisha kwa kupewa mzigo timu Fulani yenye utamaduni wa kununua mechi.
Kila Zama na wakati wake , kipindi chake kimeisha, pia na umri umemtupa mkono wa kuendelea kumuamini.
Mechi ijayo na RS BERKANE kocha tafadhali usitupe presha. Nadhani tumeona makosa aliyoyafanya dhahiri ambayo Kama Dom jiji wangekuwa makini, tungezungumza mengine.
Tulidhani labda alitaka kutufungisha kwa kupewa mzigo timu Fulani yenye utamaduni wa kununua mechi.