Recent content by tarmo

  1. T

    Nimeichangia CHADEMA wewe je?

    Unachangiaje kwa Tigopesa?
  2. T

    Draw ya Klabu Bingwa ulaya 2013/2014 - Robo fainali

    kwanini kila mtu anapredict kuwa Chelsea itapangwa na Dortmund?
  3. T

    Dr. Slaa kuunguruma IGUNGA tarehe 22 Disemba,2013

    daktari mzima unakuwa na akili za ajabu kiasi hiki?
  4. T

    Matumizi ya kifisadi ya Dr. Slaa kwenye ziara ya mkoa wa Kigoma, Singida, Tabora na Shinyanga

    hii hela ya kujikimu ni ndogo sana kwa hadhi ya Dr. Slaa,hâta Kama document hii ni kweli au uongo mimi kesho nitaenda mtaa Wa Ufipa Kinondoni yalipo makao makuu ya chama changu cha CHADEMA na nitatoa laki Tano(500,000) ili kuboresha ziara ya Katibu Mkuu Wa Chama Changu.
  5. T

    Mahojiano ya Dr. Slaa na Africa Now - Sikiliza na Uamue Mwenyewe

    Huwa namshangaa sana huyu ZeMarcopolo,na akili zake zote za udaktari lakini bado huwa anabeba nasaba za ajabu sana, nadhani huwa kuna mamna ya kuadhirika kiakili unapokuwa unashabikia CCM
  6. T

    Dr. Slaa Receives A State Reception In Alabama Capitol !

    it's very encouraging. Lazima uwe unajiamini na kuaminika ili kupata nafasi kama hizi. Hongera sana Dr. Slaa and Viva CHADEMA:peace::peace::peace::peace::peace:
  7. T

    Walisombwa na CCM wakatelekezwa, CHADEMA ikawasitiri

    Ha haaaa, magamba yanakula hadi per diems za wanaowabeba mikutanoni?
  8. T

    Wananchi wa mbeya walia na SUGU

    Jiheshimu Daktari
  9. T

    Msaada on HTC Desire

    Habari zenu wakuu, Nina HTC Desire inanipa error message ya kutokusoma sim card japo hapo kabla ilikuwa inafanya kazi vizuri, nimejaribu sim cards za kampuni mbili tofauti za simu lakini tatizo liko palepale.Msaada wenu tafadhali. Asanteni
  10. T

    Huduma za FastJet: Kero za watumiaji

    Jana abiria wa FastJet ndege ya saa tatu na dk 45 usiku toka Kilimanjaro to Dar wapatao 62 wamelala KIA bila huduma wala maelezo yeyote kwa maafisa wa uwanja na wafanyakazi wa fastJet waliwakimbia,pia polisi wa kituo cha KIA hawakutaka kuandikisha maelezo ya tukio hilo a kuonyesha wazi...
  11. T

    Kongamano la Uzinduzi wa Kanda ya Dar es Salaam: Live Updates

    Hata siku ya maandamano kumsindikiza Mwigulu The Hague nitakuwepo pia
  12. T

    Kongamano la Uzinduzi wa Kanda ya Dar es Salaam: Live Updates

    Nitapita kuacha mchango wangu hapo
  13. T

    CHADEMA waifungulia CUF njia…

    Unaongea hewa kama vile hujasoma Ilboru
  14. T

    Wadau: NYUMBA ZA MKOPO ZILIZOPO BUYUNI CHANIKA..HIZI HAPA.!!!

    64m?,two bed rooms bila hata ya grills madirishani na milangoni?, am sure hakuna hata maji na sioni nguzo za umeme.What a shame?
Back
Top Bottom