GATS
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 240
- 18
Du, Bulesi, nilikuwa naku hold in high esteem kutokana a michango yako humu jamvini, but this contibution is low, too low.
Mbeya mjini visionaries eh!
Watu karne hii kuna nyumba za udongo kati kati ja jiji!!!
Na mbunge wenu kilaza amehamasisha watu kwa vipi na hiyo vision unayoiona wewe!!
Come on , a limited vision from yourself is more or less myopic.
You seem not to note that you are in a hole, and all what you can see is the rot around you, and your representative does not have the slightest idea how to go about solving the problems-that is apart from stupidly picking up a fight with the law!
Tembea muone hata nji hii, leo Bukoba ina mpango maalum wa kuendeleza mji uwe wa kisasa, kwa kupitia mipango hii hii ya serikali. Huku kwetu Sugu yuko busy kupigana na polisi bungeni.
And you have the nerve to say you are visionaries!
Visionaries my foot!!
Tunajua kuwa wewe huwezi kukubali lakini sisi watu wa Mbeya hatuwezi kuacha Rais wetu Sugu aendelee kudhalilishwa hivyo. 2015 lazima mtajua tu kuwa Sugu anapendwa na watu wa mbeya. Mtahangaika sana lakini huo ndio ukweli. Nimepita mitaa mingi hapa Mbeya wanaishangaa sana CCM. Mbona wanampa Sugu umaarufu wa bure hivi. Maana anaonekana ni mtu anayethubutu sana.