Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,393
- 829,674
- Thread starter
- #21
kiruavunjo kuna baadhi ya post wala huhitaji hata kuzijibu ni kupoteza muda na nguvu, hili jambo ni fimbo mbaya kabisa kwa ccm hivyo lazima waje na kejeli za kila namnapilipili usio ila nayo iko shambani inakuwashia nini? maulidi si yako kanzu waivalia nini? unakiherehere cha kuhemewa kisogoni, dume jike tutakutongozea hapa hapa mwishowe utajikuta na wewe unaichangia Chadema kuleta mabadiliko ya kiutawala wa haki hapa nchini, kama unaakubaliana na mimi rusha buku tano Sasa hivyi, M-PESA malipo kampuni 213040 account M4C kiasi 5000 weka namba ya siri dhibitisha 1 Asante sana coz hata nawe shots utakuwa umeshiriki ukombozi wa pili wa taifa letu.
Last edited by a moderator: