Saivi hatuitaji wazee tunahitaji vijana wenye uthubutu wazee ndio kina wasira wanaosinzia ovyo acha fikra mgando watu wa2 makini wanauwezo wa kutengeneza cabinet kubwa mnoo na kitu usichokijua kuna wazee wengi na vijana wanajificha fisiemu sabb ya njaa tuu lkn roho zao hazipo huko Wanatamka...
Kipind hiki hatucheki na nyani hakuna lolote la maana mama yenu kafanya zaidi sana kaendelea kukopa na kukamilisha miradi na plan za magufuli...tatizo sio mama tatizo lichama halina mvuto Tena mnahitaji muwajibishane nyie kwa nyie kwanza mkiwa pembeni
Hivyo vimikopo uchwara vitawashawishi wanawake na mivijana milenda milenda ila kijana anaejitambua na kutazam future ya maendeleo ya wengi na nchi Bado ataona CCM na viongozi wake ni takataka kwa Dunia ya Leo yaani miaka 60 ya uhuru Bado Kila kitu shida Leo umdanganye mtu anaejielewa kwa...
Badilishaneni tu wake kwani mke wa jamaa ni mbaya au hanasura mbona hiyo kesi ni rahisi San vuta mke wa jamaa muhamishie home kbs na mkeo amfate mshkaji
Hakuna Cha kesi hapo Tanzania kuna haki?? Hapo ni jino kwa jino tu nawewe unafanya umafia tu unamteka binti alafu unawaita hao ndugu zake unapiga visu vya shingo tu unapita hapo wami unawarushia mamba wamekondeana majini
Inawezekana umewahi simamia ujenzi lakini mlolongo wa ujenzi kwamba kwann unampa fln kazi Bado hujaujua sasa unamleta fundi akujengee nyumba umlipe kama anavyolipwa na fundi mwenzake kwa hyo wewe utakuwa boss na injinia wake mkuu kwenye kazi unapompa mtu jukumu la KUKUJENGEA yeyr ndie msimamizi...
Kama ni s ni chumba choo sebule mpk kupaua haitozid laki5 sabb utapaua normal slop tu ila Kam ni chumba na choo pekee inakuwa nusu yake ikiwa material umecollect yote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.