Inaonekana hujawahi kusimamia kazi za Ujenzi Mkuu
Mfano ukimuuzia kazi ya Ujenzi wa nyumba ya Vyumba 3 fundi Kwa shilingi 2,500,000
Basi ujue Mafundi wake atakaojenga nao atawalipa hizo 30,000 hadi 35,000 Kwa Siku
Wakati huo, saidia fundi atalipwa shilingi 10,000 Kwa Siku.
Hilo la kwamba nivae viatu vyake, naelewa
Lakini tunaishi kwenye Dunia ya Ubapali, muhimu mkikubaliana kwamba hiyo nyumba ya Vyumba 3 atajenga Kwa shilingi 2,500,000 basi inakuwa imeisha
Kama fundi ataona umepunja sana, si mtakaa na kubargain tena??