Recent content by Tanya

  1. T

    Short course ya Marketing

    Habari wanajamvi. Naomba mwenye uelewa wa chuo kinachotoa short kozi za marketing na taarifa zingine zinaxoambatana na kozi hiyo kama lini intake mpya inaanza madomo, ada, etc. ninahitaji kijinoa kidogo uelewa wangu. Asante ni kwa kunisaidia
  2. T

    Mkurugenzi wa masoko TBC hana wajihi wa nafasi ya kazi aliyonayo

    anahitaji short course ya wiki mbili afanye mazoexi ya hiyo kazi
  3. T

    Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

    duh sasa hatutamuona tena maana Ku tune TBC nako ni mtihani mkubwa
  4. T

    Siasa za Lumumba na kesho ya Magufuli ninayoiona

    Jamaa yangu andika kitabu kabisa cha democrasia nchini Tanzania maana kuna mapoint umeongea yameniingia sana nikatamani watanzania wapate wasaha wa kusoma. Big up
  5. T

    JamiiForums Usiku wa manane

    team popo mpooooo!!!! Mimi nimeota ndoto ndefu halafu nimeisahau. Sikumbuki hata kdg sasa bora nije humu nijumuike na team popoooo
  6. T

    Kigwangalla: Dege kubwa la watalii zaidi ya 300 latua uwanja wa KIA, utalii Tanzania wazidi kukua

    Nimekupenda bure kwa ufafanuzi wako na takwimu. vipi unafanyia airport nini?
  7. T

    Casual Sex

    Duh story za humu ndani ni balaa.
  8. T

    JamiiForums Usiku wa manane

    tusali tukalale maana kesho imefika
  9. T

    Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

    Usijali best umri wako bado Sana'a mi mwenzio Nina 35 hata mchumba sina lakini Nina Imani nitaolewa vizuri tu. Usikate tamaa utaishia pabaya na pia usipapalike kuwa umri unaenda ukaangukia kwa wrong person ukaja kujuta. Ndoa bwana sio ya kuikimbilia kimbilia.
  10. T

    Nini madhara ya kujisafisha ukeni kwa kidole

    kuna MTU kanipa disinfectant nioshee uke na kiasi kingine nivukize Kwenye uke eti ni dawa inaua vijidudu vya U.T.I sasa matokeo yake nilivyofanya hivyo kwa siku tatu Ndo mashavu yakavimba na kukaanza vidonda hapo hapo nje ya mashavu. Nimeacha Mara moja na kugundua kuwa yote ni madhara ya...
  11. T

    Utapeleka nini makumbusho hii?..

    vituko haviji kuisha. kama kweli hiyo makubusho IPO ni ubunifu mzuri na itakuwa na visitors wengi sana kwa sababu hiyo ishu inagusa maisha ya wengi. Tutaenda kujifunza mengi kuhusu mahusiano ya watu na namna yalivyovunjika
  12. T

    Umri sio tija. Kikubwa mapenzi. Couples hizi zimedhihirisha hili.

    Hayo yote yanawezekana mbona Mimi Nina 34 mwanamke mume wangu ana 29 na tunapendana sana. umri ni namba tu wapendwa cha muhimu ni mapenzi ya kweli kila MTU kukubali kuishi na mwenzie tokea moyoni.
Back
Top Bottom