Carnivora
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,651
- 5,987
Wakuu habari
Nna imani sote ni wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu ya kila siku.
Ninaangalia TBC, televisheni ya Taifa, hapa wakiwa live katika "uzinduzi wa maonesho ya live ya Kombe la Dunia" kama ntakua nimekosea hicho kipindi niko radhi kusahihishwa.
Amesimama Mkurugenzi wa Masoko wa TBC, mama fulani hivi, kuzungumza. Nimeona tatizo. Simsemi vibaya na wala sina chuki naye kwa maana simjui hata kidogo. Wajihi wa yule mama haujakaa kwa position anayoiserve. Hajakaa ki MARKETING na wala haonekani kama ana dalili za marketing. Kwa uzungumzaji ule mbele ya kadamnasi inaonesha mama haitendei haki nafasi yake. Ama sijui tuseme nafasi imekaliwa na mtu asiye sahihi? Mi sijui.
Lile tatizo la kupotea kwa TBC pengine linasababishwa na matatizo ya wakuu wa vitengo hawa. Kiintelijensia zangu kitengo cha marketing TBC kina tatizo.
Wenye mamlaka yenu chukueni hatua. Nimetoa maoni tu. Mkitoa povu ruksa.
Watu wa marketing tunawajua haiba zao. Si kwa haiba ile.
Am off.
Nna imani sote ni wazima na tunaendelea vizuri na majukumu yetu ya kila siku.
Ninaangalia TBC, televisheni ya Taifa, hapa wakiwa live katika "uzinduzi wa maonesho ya live ya Kombe la Dunia" kama ntakua nimekosea hicho kipindi niko radhi kusahihishwa.
Amesimama Mkurugenzi wa Masoko wa TBC, mama fulani hivi, kuzungumza. Nimeona tatizo. Simsemi vibaya na wala sina chuki naye kwa maana simjui hata kidogo. Wajihi wa yule mama haujakaa kwa position anayoiserve. Hajakaa ki MARKETING na wala haonekani kama ana dalili za marketing. Kwa uzungumzaji ule mbele ya kadamnasi inaonesha mama haitendei haki nafasi yake. Ama sijui tuseme nafasi imekaliwa na mtu asiye sahihi? Mi sijui.
Lile tatizo la kupotea kwa TBC pengine linasababishwa na matatizo ya wakuu wa vitengo hawa. Kiintelijensia zangu kitengo cha marketing TBC kina tatizo.
Wenye mamlaka yenu chukueni hatua. Nimetoa maoni tu. Mkitoa povu ruksa.
Watu wa marketing tunawajua haiba zao. Si kwa haiba ile.
Am off.