Huwa nasikia watangazaji wa mpira wakisema Mkwaju wa penalti.
Mkwaju ni nini? Na hivyo kuna mikwaju ya nini na nini.
Karibuni wataalam wa Kiswahili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpanda ndo Mambo yote, hujakosea, nenda ni pazuri sana kibiashara na patakuwa pazuri zaidi kwa sababu Sasa Kuna usafiri wa ndege na barabara ya Mpanda Tabora inajengwa kwa kiwango Cha lami na mpaka mwaka huu mwishoni inaweza ikawa imekamilika, so mambo ya biasharaa na huduma za jamii yatakuwa...
Naomba msaada kwa mtu yeyote anayejua namna ya kuzipata Gari canter used kutoka Malawi. Hasa zile multipurpose ambazo unaweza ukazitumia kusombea na mchanga.
Huko kusini Membe hajafanya kitu, nani atampa kura, kwake tu amefanya vitu, Lindi na Mtwara amewafanyia nn huyu Mzee, ameshindwa hata kupeleka chuo Lindi inadorora tu, angepropose hata chuo cha diplomasia kukawa na Branch Lindi wakati akiwa waziri wa mambo ya nje.
Kuna watu kadhaa ambao walikuwa na Tabia mbaya sana, lakini baada ya kupelekwa gerezani au Mahabusu na kukaa huko kwa muda flani, naona sasa wamekuwa na tabia njema na naona wanaanza kuwa mfano wa kuigwa kwa tabia njema waliyonayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna rubber moja kama seal inayozuia gas isitoke ukiiruhusu kwenda kwenye jiko imeondolewa au imepotea, itafute na kama haipo, rudi kwa aliyekuuzia mtungi/gas akuwekee!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.