Mkwaju ni nini?

Huo hapo
tapatalk_1579361798462.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkwaju ni mti unaotoa tunda za ukwaju. Kama ushawahi kunywa juice ya ukwaju utakua unanielewa.

Hizo maana zingine unazozisikia mitaani sio rasmi.
 
MKWAJU una maana zaidi ya moja.

1.Mkwaju ambao ni mti unaozalisha ukwaju.

2.Mkwaju ni alama mojawapo katika uandishi /

3.Mkwaju ambao maana yake nyingine ni fimbo au bakora
Mfano: Mbao za Mawe alipigwa mikwaju ya kutosa na baba yake.


4.Mkwaju maana yake ni shuti.Wale wanaopenda kuangalia mpira watakuwa wanajua maana ya neno mkwaju.
 
Back
Top Bottom