Kwanini mawimbi ya satellite (dish za ku-band) yanaathiriwa na hali ya hewa kuliko ya mawimbi ya radio?

deo paul555

JF-Expert Member
Oct 22, 2018
1,405
520
Habari ya leo,
nimekuwa mtumuaji wa TV hasa madishi ya FTA futi sita yale ya zamani yalikuwa hayaathiriwi na mawingu wala mvua. cha ajabu ving'amuzi ya ku-band hivi vidogo vya sasa havihimili hali ya hewa kabisa je tatizo nini? Wakati huo wingu zito radio masafa ya FM unaipata vizuri kwanini mawimbi ya satellite yashindwe?

Karibuni wataalamu hapa.
 
Habari ya leo,
nimekuwa mtumuaji wa TV hasa madishi ya FTA futi sita yale ya zamani yalikuwa hayaathiriwi na mawingu wala mvua. cha ajabu ving'amuzi ya ku-band hivi vidogo vya sasa havihimili hali ya hewa kabisa je tatizo nini? Wakati huo wingu zito radio masafa ya FM unaipata vizuri kwanini mawimbi ya satellite yashindwe?

Karibuni wataalamu hapa.
Nazani ni ukubwa wa Dish unachangia kwa kiasi kikubwa kuwa na signal kubwa na imara
 
Hivi vidishi ni vidogo ndiyo maana vinazingua kwasababu ya uwezo wa kuchukua mawimbi ni mdogo
Tatizo sio vidish vidogo, bali ni mfumo wake wa masafa(KU-Band) ndio unaoshindwa kuhimili hali mbaya ya hewa. Maana hata ile Lnb ukiiweka kwenye Dish kubwa la C-band, hali ya hewa ikiwa mbaya, picha itakata tu.
 
Wengine wanadai,tatizo ni installation,mafundi hawatumii sat meter,hivyo akizungusha dishi kwa kukisia,akapata picha,anakazia dishi Hapo hapo ,kumbe signal streath na quality ipo 20 persent ,wakati inatakiwa iwe asilimia 100,,Happ wanadai hata like tufani dishi linakamata tu
 
Wengine wanadai,tatizo ni installation,mafundi hawatumii sat meter,hivyo akizungusha dishi kwa kukisia,akapata picha,anakazia dishi Hapo hapo ,kumbe signal streath na quality ipo 20 persent ,wakati inatakiwa iwe asilimia 100,,Happ wanadai hata like tufani dishi linakamata tu
Hivi vya kuband ni shida sanaa uliza utanipa jibu
 
Habari ya leo,
nimekuwa mtumuaji wa TV hasa madishi ya FTA futi sita yale ya zamani yalikuwa hayaathiriwi na mawingu wala mvua. cha ajabu ving'amuzi ya ku-band hivi vidogo vya sasa havihimili hali ya hewa kabisa je tatizo nini? Wakati huo wingu zito radio masafa ya FM unaipata vizuri kwanini mawimbi ya satellite yashindwe?

Karibuni wataalamu hapa.
kwenye satelite yenyewe inakuwa juu angani hivyo hali ya hewa inavyokuwa mbaya inaziba dish lako lisionane na satelite.

fm redio yenyewe kama analog nyengine kunakuwa na mnara maybe kwenye mlima ulio karibu, ama ghorofa, ama eneo jengine lililo karibu, ule mnara ndio unakutumia mawimbi, hivyo hata wingu lifunge vipi huko juu ni ngumu kuathiri
 
kwenye satelite yenyewe inakuwa juu angani hivyo hali ya hewa inavyokuwa mbaya inaziba dish lako lisionane na satelite.

fm redio yenyewe kama analog nyengine kunakuwa na mnara maybe kwenye mlima ulio karibu, ama ghorofa, ama eneo jengine lililo karibu, ule mnara ndio unakutumia mawimbi, hivyo hata wingu lifunge vipi huko juu ni ngumu kuathiri
Hivi naweza pata dekoda za mp 4 ili nitumie dish la futi 6 mahitaji yangu ni local Chanel zile tano kwa c band, kuband changamoto nyingi je nijulishe mtaalamu naweza pata?
 
Satellites zipo juu ya uso wa dunia (juu ya anga) hivyo mawingo, mvua na hali mbaya ya hewa katika uso wa dunia itasababisha barrier ya kuakisi mawimbi huko yalipotokea. Mawingu yanakuwa kama utando kati ya satellite na dish. Mvua inaleta random deflection.

Mawimbi ya redio (FM,AM/MW,LW,SW, na Mawimbi ya simu) hayo yanarushwa kutoka minara iliyopo Ardhini, kwa hiyo mawingu hayana athari kwa sababu Mnara (transmitter) na Mpokeaji (Receiver) wote wapo ardhini.
 
Habari ya leo,
nimekuwa mtumuaji wa TV hasa madishi ya FTA futi sita yale ya zamani yalikuwa hayaathiriwi na mawingu wala mvua. cha ajabu ving'amuzi ya ku-band hivi vidogo vya sasa havihimili hali ya hewa kabisa je tatizo nini? Wakati huo wingu zito radio masafa ya FM unaipata vizuri kwanini mawimbi ya satellite yashindwe?

Karibuni wataalamu hapa.
Kumbuka maji ni bad reflector ya radio/tv waves. Na sio kweli kwamba dish la C Band haliathiriwi na maji/ mvua .
 
Hivi naweza pata dekoda za mp 4 ili nitumie dish la futi 6 mahitaji yangu ni local Chanel zile tano kwa c band, kuband changamoto nyingi je nijulishe mtaalamu naweza pata?
Mjini msimbazi kariakoo pale unapata chini ya laki, nilinunua yangu 80,000 miaka kadhaa iliopita ilikuwa mpeg4 na pia ina biss key.

Kwa siku hizi mambo ya internet, iptv, na kufungua chanell mbalimbali kuna dekoda zenye biss na powervu autoroll kama Vile Tiger, gsky, hellobox etc zinafanya hii kazi. Mfano wake ni kama

-HelloBox V5 Plus(Biss + powervu)
-Tiger m5
-superRange t20 decoder
-Gsky V5 or V7
-G-Sat 9500 DVB-S2 Receiver
-Tiger t3000(biss plus powervu)
-Tiger T800 Plus MINI Full HD
-Strong 4950(via patch software on crosat)
-Starsat Extreme decoder
-icone iron plus decoder
-C-Sat C8 Pro
-Tigerstar T245+ Lazer
-Strong 4955 also via a patch software Upgrade

Sijajua bei ya zinazofungua powervu na Autoroll ila nafkiri haitazidi sana toka kwenye hizo za biss key pekee. Around 100,000 mpaka 200,000 hivi kwa makisio.
 
Mjini msimbazi kariakoo pale unapata chini ya laki, nilinunua yangu 80,000 miaka kadhaa iliopita ilikuwa mpeg4 na pia ina biss key.

Kwa siku hizi mambo ya internet, iptv, na kufungua chanell mbalimbali kuna dekoda zenye biss na powervu autoroll kama Vile Tiger, gsky, hellobox etc zinafanya hii kazi. Mfano wake ni kama

-HelloBox V5 Plus(Biss + powervu)
-Tiger m5
-superRange t20 decoder
-Gsky V5 or V7
-G-Sat 9500 DVB-S2 Receiver
-Tiger t3000(biss plus powervu)
-Tiger T800 Plus MINI Full HD
-Strong 4950(via patch software on crosat)
-Starsat Extreme decoder
-icone iron plus decoder
-C-Sat C8 Pro
-Tigerstar T245+ Lazer
-Strong 4955 also via a patch software Upgrade

Sijajua bei ya zinazofungua powervu na Autoroll ila nafkiri haitazidi sana toka kwenye hizo za biss key pekee. Around 100,000 mpaka 200,000 hivi kwa makisio.
Ahsante,kupata local zote uwe na lnb ngapi?
 
Ahsante,kupata local zote uwe na lnb ngapi?
Mkuu siku nyingi sana Sijafunga dishi ila nimecheki hapa lyngsat naona kuna Intelsat 22 nyuzi 72 na intelsat 906 ya nyuzi 64 hapa utapata local chanell almost zote pamoja na za Kenya nyingi tu.

Shauriana na fundi kwanza kama unaweza kuzipata zote mbili kwa dishi moja kwa kuweka lnb 2.
 
Mkuu siku nyingi sana Sijafunga dishi ila nimecheki hapa lyngsat naona kuna Intelsat 22 nyuzi 72 na intelsat 906 ya nyuzi 64 hapa utapata local chanell almost zote pamoja na za Kenya nyingi tu.

Shauriana na fundi kwanza kama unaweza kuzipata zote mbili kwa dishi moja kwa kuweka lnb 2.
Nimekuelewa,jee huko dar ninaweza nunua na kuniwekea Chanel zote local ili huku wilayani fundi awe na kazi ndogo kutegesha kufunga kwani huku wilayani mafundi sio mahiri,hilo haliwezekani mtaalamu? Nachotaka local tu pia hivi vidogo mawingu kamezima inakera sana
 
Back
Top Bottom