Unafungaje safari kuelekea sehemu bila kuwa na taarifa za kutosha za huko unakoelekea? Labda kama ni safari ya kushtukiza...Habarini za asubuhi vijana wenzangu,kaka zangu shikamoon na Baba zangu Na Mama zangu pia,asubuhi ya leo nipo safarin kuelekea Sumbawanga mjini Je!kuna hotel gani nzuri hapo yenye kutoa huruma bora?
Dah, inabidi ukiingia tu mjini fanya kwanza utafiti mdogo ikiwemo kuulizia kwa wenyeji kabla hujaingia cha kike...Ndio mkuu ni ya kushtukiza
Unafungaje safari kuelekea sehemu bila kuwa na taarifa za kutosha za huko unakoelekea? Labda kama ni safari ya kushtukiza...
NHabarini za asubuhi vijana wenzangu,
Kaka zangu shikamoni na Baba zangu Na Mama zangu pia.
Asubuhi ya leo nipo safarin kuelekea Sumbawanga mjini
Je kuna hotel gani nzuri hapo yenye kutoa huduma bora?
Kama wewe hujui ni Busara ukakaa kimya na kuwaacha wanaopafahamu wamuelekeze.Unafungaje safari kuelekea sehemu bila kuwa na taarifa za kutosha za huko unakoelekea? Labda kama ni safari ya kushtukiza...
Kalambo lodge,,ziko nyingi sana uzuri wa swax huwezi potea sio uswahilini na mjini hapako busy kama kariakoo au mwanjelwaau kule jangwani kuna hoteli amajenga mzindakaya,ni nzuri
ipo mitaa ipi mkuu maana naenda kule nikipata dharura nisijetia aibu ndugu?MT lodge, ipo mqjumba 6 ipo fresh sana