Ndug wana Jf nimeileta Mada hii kusudi tuweze kuchambua, kwa kina kuhusu elimu zitolewazo shuleni na vyuoni ni kwa kiwango gani kinawasaidia wanafunzi kuwa na uwezo binafsi wa kufikiri na kuweza kkuchambua na kutatua changamoto mbalimbali wanazokutana Nazo katika maisha yao ya kila siku.
Na...
bado hawajatoa ila ingia kwenye account yako uliyotumia kuaply angalia selection status yako, wameonesha huko Kama umechaguliwa fanya haraka uspoteze mda kusubiri hayo majina manana wanasema kunatatizo limetokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.