mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,661
- 18,035
Ningependa kujua kama kuna yeyote aliyechaguliwa kusomea udaktari huku akiwa na pointi 9.
Nawashaur kozi za afya ziko nying co lazma usome md! Nna school mate 2memalza mwaka jana kapata 1 9 lkn hakupata chuo kabsa na ilibid akae hm mpaka mwaka huu so kuwen makin sanaBest angu ana points 8 katemwa kote uko
Muhas na Udom sahau labda kcmc na cuhas kwa bahati sanaNingependa kujua kama kuna yeyote aliyechaguliwa kusomea udaktari huku akiwa na pointi 9.
Bahati gani nyingine anayoitafuta?Aliepata chuo kimoja anaeza fanya application second round Ili kujaribu bahati sehemu Nyingine?
Mkuu unatafuta balaa ya TCU, watakutema hata hicho kimoja ulichopata!!!!!! Sana sana usubiri uombe kubadilisha course ukiwa chuoni .Aliepata chuo kimoja anaeza fanya application second round Ili kujaribu bahati sehemu Nyingine?
Duuu!!!!!!!! Au alipata physics E? Kwa maana ya B, C, E? Maana inabidi uwe na angalau D ya Physics.Best angu ana points 8 katemwa kote uko
System itamtema!Aliepata chuo kimoja anaeza fanya application second round Ili kujaribu bahati sehemu Nyingine?
aisee mwambie aspanic atulize akili ana points nzuri..Alipata CBC - PCB
Ni kweli, kuna watu kibao wtaachia nafasi baada ya kuconfirm MUHAS na UDOM, kutakuwa na nafasi kibao KCMC, Bugando (CUHAS), na St Johns. Kariuki asiguse labda kama yuko tayari kulipia!!aisee mwambie aspanic atulize akili ana points nzuri..
Mwambie round ya pili aombe kairuki,st john....hii kitu ilinipata mwaka Jana nilikosa chuo round ya kwanza alaf ufaulu mzuri daah skuamini.....
Muhas,udom mwambie asahau.....ajaribu hizo private bila kusahau arudishie hayo machaguo take cuhas,kcmc hizo round zinazokuja
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli, kuna watu kibao wtaachia nafasi baada ya kuconfirm MUHAS na UDOM, kutakuwa na nafasi kibao KCMC, Bugando (CUHAS), na St Johns. Kariuki asiguse labda kama yuko tayari kulipia!!aisee mwambie aspanic atulize akili ana points nzuri..
Mwambie round ya pili aombe kairuki,st john....hii kitu ilinipata mwaka Jana nilikosa chuo round ya kwanza alaf ufaulu mzuri daah skuamini.....
Muhas,udom mwambie asahau.....ajaribu hizo private bila kusahau arudishie hayo machaguo take cuhas,kcmc hizo round zinazokuja
Sent using Jamii Forums mobile app
Website ya Bugando haifunguki kitambo tu, sijui kuna tatizo gani?Kwani Bugando na kcmc wameshatoa?
Nami naitaji kufahamu ili swalaNaomba kuuliza je Kama umechaguliwa single selection, na koz nliochaguliwa siitaki kusomea naweza kufanya Application second round???