prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,325
- 3,709
Subiri akutane na akina
Wema
Wema
Duu ndonakisoma kitabu cha Trump basi nakiacha kumbe mahela yote ayo alipewa.Hakuna cha pongezi wala nini hapo,naona mnajipa promo tu.
Kama zawadi tu alipewa ni altezza sasa unategemea nini kama sio kufanyiwa kila kitu na hao wazazi wake
Huyo hana tofauti na Trump aliposema "when I finished college I asked my dad for a loan and he borrow me $200,0000,000/- sasa wewe unategemea nini maana mtu hata awe kichaa vipi hawezi kutoifanyia jambo iyo pesa
Acheni unafiki wenu wa kujidai kupeana promo, there a lot of people out there who started their business from zero to hero
Ninachojuta ni kutokuwa na hii passion na mawazo haya nikiwa na umri kama wake.
Any way, I hope sijachelewa sana
Labda ulikua unahitaji apate mtaji kwa njia gan? Maana zipo njia nyingi za kupata mtaji nahisi na hiyo ni Moja wapoNdo maana mimi nikasema nampongeza kwa kuwa na idea na uthubutu wa biashara..ila kwenye jinsi alivyopata mtaji No
Raha ya kuzaliwa ktk family yenye maono.Ndo maana mimi nikasema nampongeza kwa kuwa na idea na uthubutu wa biashara..ila kwenye jinsi alivyopata mtaji No
mwongozo wa wazazi katika umri huo ni muhimu sana.. Huyu dogo wazazi wake walimpa mwongozo mapema.,ndio maana kawa hivyo alivyoHongera,
Kuna wengine wazazi wana pesa lkn hawajishughulishi na hawana wanachokifanya mjini zaidi ya kujaza single mom mtaani
exactly true as you said,Hili ni tangazo la hiyo biashara;Wazaz wake ni wabunifu sana wa marketing
Nimejifunza kupitia comment hii, hongera Mkuu..Sikua na majukumu, nilikua na muda, ningekua risk taker, ningekimbia hapa na pale kutafuta fursa. Lakini jana imepita! The past is myself
"...fervid expectations..." ~ Napoleon Hillnamjua huyo dogo.. nimeprint tshirt za ofisi yake..
ni ana passion sana na business..... sema kwao wana pesa sana..
Nilikuwa kwenye Youtube channel ya Millard Ayo nikakutana na stori ya kijana mmoja kwa jina Scott ambaye ni Mtanzania,aliyefungua biashara ya restaurant ya Pizza na ikanivutia kuangalia video hiyo..
Kwenye maelezo yake amesema alikuwa na lengo la kuwa na biashara yake kabla hajafikisha umri wa miaka 20+..
Alianza kusave fedha ambazo nyingine alikuwa akilipwa na mama yake alipokuwa anamsaidia katika kazi zake..
Pia aliuza gari aina ya Toyota Altezza aliyopewa zawadi na baba yake ili aongezee kwenye mtaji huku pia akiomba backup kutoka kwenye familia yake..
Katika maelezo yake nikagundua huyu kijana pongezi ninazoweza kumpa ni kuwa na idea ya biashara na kuishi katika ndoto zake and nothing else..maana inaonyesha familia yake iko vizuri,kwahiyo suala la mtaji sio big deal sana..
Wakuu katika jukwaa hili mnalipi la kuongea kuhusu kijana huyu na je biashara ni kweli inaanzia kwenye idea au both idea na mtaji vinaitajika ila kuanzisha biashara??
Hebu na wewe usaidiwe na wazazi wako kwa uwezo walio nao tuone kama utasonga mbele. Hii kitu ni dogo mwenyewe ana hiyo akili na ndiyo maana ameweza kuendesha. Wengine hata pesa aliyokuwa akiweka baada ya kulipwa angetumia tu akijua wazazi wana pesa watampatia.Kasaidiwa na wazazi wake ...pongezi kwa wazazi.
Wazazi wanasaidia mtoto anaejitambua. Huyu kijana kaonesha kujitambua mapema kwani hata pesa alizolipwa alitunza kwaajili ya mtaji wa biashara yake. Biblia husema ALIYENACHO HUONGEZEWA.Kweli kabisa sio wazazi wote wana huo moyo
Hili ni tangazo la hiyo biashara;Wazaz wake ni wabunifu sana wa marketing