Sawa swala la offdide mbona wameweka 100% na hadi vivuli wameweka wameshindwa vipi kushika mpira ok sawa kwanini wameweka mabeki huwa wanaweka mikono nyuma kuogopa kushika ndani ya box?
Kingine game zote sio pes ,dls wameshindwa kabisa kuweka code ambazo mchezaji akishika ndani ya 18 iwe penalty auakishika mchezaji iwe faulo? Niulizie kwa konami
Shida ipo kwako wewe ambaye umewaza hivyo lakini watu wengi hawawazi sababu hawana mtu wa kuwavusha bahari ya shamu wakati ww ndo umekimbilia mjini Sasa kijiji Kitatendelea vipi !🫡😂🤣
Kanye ni mwanamziki mzuri lakini kiupande mwingine wa pili wa mambo ya dini uku inabidi awache watu wabaki na IIMAN zao unajua mambo ya imani bhana na Ndoo manaa hata kiuchumi kaporomoka mulikuwa na kundi kubwa sana. La watu walikuwa wakimfutialia lakini alipo anza mambo ya dini ,kuziaki imani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.