LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,120
- 27,126
Alitoa wimbo unaitwa " Jesus Walks" baadae akaanzisha kundi la muziki wa injili na akawa anafanya kitu kama huduma hivi kiasi cha kupelekea mashabiki wake kuanza kumuita " Bishop Kanye"
Leo kaamua kufunguka ukweli wa moyoni. Anasema maombi kwa Mungu hayafanyi kazi ama kwa lugha nyingine ana maanisha " Mungu hajibu maombi ya watu"
Ndio yale yake ya akina Likud.
Anyways kuna ukweli mwingi sana kwenye hoja ya Kanye. Asikilizwe.
Wakristu na waislamu ingawa midomoni watajifanya kumponda Kanye ( unafiq) lakini kwa matendo yao wanakubalina na hoja ya Kanye kwa Asilimia nyingi sana.
Ndio maana wengi wao tunakutana nao kwa wingi sana kwenye vilinge vya waganga. Tena hawa ni wale Walokole HASWA na maustadh/ ustadhat HASWA.
Ndani ya mioyo yao wanajua ukweli kwamba Mungu huwa hajibu wala kushughulika kabisa na maombi ya watu.
Leo kaamua kufunguka ukweli wa moyoni. Anasema maombi kwa Mungu hayafanyi kazi ama kwa lugha nyingine ana maanisha " Mungu hajibu maombi ya watu"
Ndio yale yake ya akina Likud.
Anyways kuna ukweli mwingi sana kwenye hoja ya Kanye. Asikilizwe.
Wakristu na waislamu ingawa midomoni watajifanya kumponda Kanye ( unafiq) lakini kwa matendo yao wanakubalina na hoja ya Kanye kwa Asilimia nyingi sana.
Ndio maana wengi wao tunakutana nao kwa wingi sana kwenye vilinge vya waganga. Tena hawa ni wale Walokole HASWA na maustadh/ ustadhat HASWA.
Ndani ya mioyo yao wanajua ukweli kwamba Mungu huwa hajibu wala kushughulika kabisa na maombi ya watu.