Huu uzi ni toka 2022 ni mzuri unafurahisha na kuhuzunisha pia..nilipoanza page 1 nikajikuta namalizia zote 46.mpk sasa zilipofikia...HAKIKA TANZANIA NI KUBWA NA WATU WANAISHI MBALI SANA TENA KATIKA MAZINGIRA YA KUSHANGAZA.🙌🙌
Wacha dharau bro hizo 1 za HKL ndo zimetufanya wengine leo hii tunaheshimika makazini mwetu, tunaendesha vitengo, tunaheshimika katika jamii zetu, zimetupa exposure ndani na nje ya nchi na kubwa tunazilea familia zetu kwa kuzipatiaa mahitaji yote muhimu...kwa hiyo, kaa kwa kutulia maisha ni...
hizi zinaitwa pasi ndefuu...!noma sana uzuri ndege haichoshi sana km juu kumetulia, unalala unaangalia movie, unalala tena unaangalia movie, mpk unafika.😃
ngoja niendelee kujifunza kwanza, nashawishika kutaka kuanza hii kitu...mwanzoni ilikuwa napingana nayo sana hii kitu ila kwa sasa kuna sauti ndani yangu inanambia anza kufanya uone Mungu atakujaalia vipi, you never know😃
choo cha ndege ni kidogo tu saizi ya kuingia mwili mmoja wa mtu mzima...sema shimo lake ni tofauti na tulivyovizoea, baadhi ya ndege huwa hakuna maji kuna only toilet papers...mimi nlivyoingia chooni nilitaka kutoka nduki wakati wa kuflash, mana ulitoka mlio mkubwa sana mle ndani hlf hakuna maji...
mbona ndege ikitulia unatembea vizuri tu coz kuna wakati inafika hata huhisi kama upo ndani ya ndege inayokwenda kwa kasi...so unaenda ma kurudi salama kbs, we huoni cabin crew wanavgotembea confidently kbs.! punguza wogaa uende chooni😅
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.