Nyie ndo huwa mkiingia anga za watu mnakula za kutosha, kumtii Mungu ni kwny bible ila kwny katiba ipo kumtii mkuu wako. Kama unajua kwmb hakuna mkubwa zaid ya Mungu bs achana na kaz zinazokulazimisha kula kiapo.
Mimi baada ya kutoka town nilikokuwa nasoma na kwenda hom kwa bi mkubwa, siku ya kwanza kwenda kisimani nilimuuliza, mama nichukuwe chombo gn kinachonitosha? Yeye akajibu fastaa tu, chukua pipa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo maana unaambiwa walianza mdogo mdogo kabla ya kuwa na hizo silaha na vifaa unavyovisema, insue ya MKIRU watz wengi huwa hawaelewi ilipokuwa imefikia na kaz ngumu iliyofanyika kuwatawanya wale jamaa, ndo maana huwa wanaishia kupiga kelele tu kwny mitandao ya kijamii! Kiufupi ni kwmb bila...
Bro ukiwa mission area ndo utaelewa maana halisi ya haya mambo. Unapokuwa huku unaambiwa jukumu lako la msingi ni ulinzi wa raia( protection of civilian) lkn kiukweli kaka hamna kitu kama hicho ni maigizo tu. Raia wanaweza wakawa wanachinjwa kijiji jirani kabisa na kambi yenu lkn hamruhusiwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.