Ntovye
Senior Member
- Apr 18, 2021
- 124
- 199
They are serious social issues! Huwezi kuzungumzia maendeleo wakati watu walidhulumiwa na kuharibiwa maisha na biasharaRais asipokua makini anaweza kumaliza muda wake akifanyia kazi issues za wapinzani TU
Ndio maana huwa wanasema "if you give them an inch they will ask for a mile".
Wakimaliza hili, watadai jingine na wakiona wametimiza malengo yao wataanza kumpinga.