jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,128
- 8,648
we mzee wa kigoma ninLabda Tanzania ingepeleka jeshi huko, rwanda ni kutaka gesi tu.
umenikumbusha mbali sana na ugali wa mhogo na migebuka
we mzee wa kigoma ninLabda Tanzania ingepeleka jeshi huko, rwanda ni kutaka gesi tu.
Lakini Nyusi si alisha sema hataki majeshi kutoka nje ya nchi?Nchi zote za SADC zinapeleka majeshi huko.. South Africa, Namibia, Zimbabwe, Tanzania, Congo, Zambia nk
Lakini Nyusi si alisha sema hataki majeshi kutoka nje ya nchi?
Sasa hao Rwanda wanafuata nini huku?
Jamani niwaambie kitu, huku hakuna hicho munachokiita Alshabab, ni mapicha picha tu, ambayo sisi wengine tunaogopa hata huku kukomente.
Naishia hapo maana bado uhai ninaupenda.
Nyusi mwenyewe aliomba SADC, na hicho kikao kilifanyika mwezi wa 3 mwishoni, na Tanzania iliwakilishwa na Mh. Hussein MwinyiLakini Nyusi si alisha sema hataki majeshi kutoka nje ya nchi?
Sasa hao Rwanda wanafuata nini huku?
Jamani niwaambie kitu, huku hakuna hicho munachokiita Alshabab, ni mapicha picha tu, ambayo sisi wengine tunaogopa hata huku kukomente.
Naishia hapo maana bado uhai ninaupenda.
SADC ni jumuiya ya vikao tu kama ilivyo kwa mama yake (AU).SADC kila siku ni vikao tu,tangu 2018 wanafanya vikao khs Msumbiji.
Nchi nyingi za Africa taasisi zake za usalama ni dhaifu kiutendaji. ( Ndio maana waliomshambulia Lissu bado hawajulikani).Yaani vigaidi hivyo vichache vinaenda kuchangiwa nguvu na nchi zote hizo?
Nikuulize???Rwanda haijapakana na Msumbiji sasa hiyo gesi wataipitishia nchi gani? Au wataibeba na mitungi mpaka Kigali?
Kagame ana Kiherehere sana, anataka kuonekana kila mahali, Ile kazi ni ya TPDF kufanya mafunzo pale kama ilivyokuwa Operation Safisha
Uzuri Gas haibebeki kama Almas na dhahabuPK kanusa utajiri wa gesi kwa Wamakonde huko. Watajuta kumjua, awaulize Wacheza Ndombolo (Congo)
Ni unafiki wake tu hao mbweha walianza kwa mapanga anawaangalia tu ilhali anajua kabisa wanajeshi wake ni dhaifu na hawana uzalendo pesa mbele wanasaliti serikali now alshababy wanamiliki drone na silaha zote za kivita mpaka gwanda za jeshi eti ndo anaomba msaada washateka si chini ya wilaya tano tena kubwa mno hyo vita tuwaombee wanajeshi wote waloenda ila mpambano utakuwa mkali na walivyo wanakufa wanazaliwa yaani hawaishi!!Nyusi mwenyewe aliomba SADC, na hicho kikao kilifanyika mwezi wa 3 mwishoni, na Tanzania iliwakilishwa na Mh. Hussein Mwinyi
Ila kwa combination ya nchi zote hizo..hao jamaa lazima wapigwe. Watakimbilia wapi? Labda baharini.. maana wamezungukwa. Mwisho wao umefika nakuambiaNi unafiki wake tu hao mbweha walianza kwa mapanga anawaangalia tu ilhali anajua kabisa wanajeshi wake ni dhaifu na hawana uzalendo pesa mbele wanasaliti serikali now alshababy wanamiliki drone na silaha zote za kivita mpaka gwanda za jeshi eti ndo anaomba msaada washateka si chini ya wilaya tano tena kubwa mno hyo vita tuwaombee wanajeshi wote waloenda ila mpambano utakuwa mkali na walivyo wanakufa wanazaliwa yaani hawaishi!!
Hasira za baada ya juachiwa mimba na mwenda zake bado zinakusumbuaNdo ujue mwendazake alikuwa Boya hasa, yaani likaenda Rwanda kujipendekeza Urafiki na kataifa pumbavu kabisa kasiko na mbele wala nyuma,halafu limekufa aibu kubwa zaidi imelipata hako katusi hakajaja kulizika jingaman
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Hata sisi tunapeleka na tunashaanza kuandaa battalion ya kwanzaLabda Tanzania ingepeleka jeshi huko, rwanda ni kutaka gesi tu.
Tunaomba Mungu iwe hvyo mkuu maana wamejua kuharibu Maisha ya watu mfaransa na marekani wamewekeza bilion za dollar Kwa Gas na Mafuta ni project kubwa Sana wafanyakazi kutoka nchi mbalimbali dunia walijaa mzunguko wa pesa ulikuwa mkubwa sana biashara zilikuwa zinatoka sio mchezo ila leo ukipita wilaya hizo ni magofu matupu watu waliwekeza mamilion kwenye majumba na guest house bado mahoteli ya kitalii walimouliwa wazungu na black wenzetu wengi wakacharangwa kama nyama ya supu wakaishiwa kuzikwa kama mbwa alogongwa!!Ila kwa combination ya nchi zote hizo..hao jamaa lazima wapigwe. Watakimbilia wapi? Labda baharini.. maana wamezungukwa. Mwisho wao umefika nakuambia