Ukiichukua akili ya Dr. Mwakyembe pamoja mkuu wa kaya na wengineowote wanaowafanania inaonekana kabisa wanafikiria na kutoa maamuzi kwa mambo ya msingi kwa kutumia ubongo ulioathiriwa na sumu ya poloseum waliyompa huyo Dr mropokaji.Poor Dr.Mwakyembe ,pooor CCM gvt.
Aaah! Ww dogo sana huwezi jua hii kitu. Yaani imenikumbusha mwaka 1995 pale VINGUNGUTI ''A'' P/SCHOOL yaani kuangalia picha 5 sh 10/= wakati huo kwa pesa hiyo unapata supu ya mapupu kwa mama kapaya(rip my beloved grand ma)
Kweli ww umedoda kama jina lako, hizo tafiti zimefanywa na binadamu kama ww na pia unatakiwa ujue kitu nachoitwa research critics, sample space im
Echukuliwa rombo tu na hayo maeneo mengi ya kilimanjaro wanamwachia nani? Mbona hawajaongelea infant mortality? Au na wewe mleta mada usiwe kama JUHA...
Hii gari haijawai kushushwa engine bro. Rangi ni nyeusi, na pia ni manual transimission pia ni milango mitatu. ilikuwa kwenye shirika la mradi kagera, sababu ya kuiuza nataka kubadilisha gari,
suzuki escudo, ipo kwenye hali bomba,imetembea KM 78000; petrol engine, manual flow gear, AC&CD player vpo safi kabisa. Bei 7mil. Kama kuna muhitaji ani pm.
Nina shamba heka 5 zipo misugusugu kongowe ya kibaha, limekaa vizuri 5km kutoka main road(morogoro rd) bei 8mil. Njia inapitika mwaka mzima. Kama upo tayari nijuze.
kama una nazi hapo upo pazuri nami nimejaaliwa JIMBUZI kajili ya kukuuuna hiyo nazi. Tena kabla ya kuikuna ntaifua kwanza iwe safi ili isije chafua tui litakalokamuliwa hapo. Waonaje hiyo, kama umeridhia we ni pm tu tutafutane ili nku hiyo ,mbuzi bi Jane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.