Kitope
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 236
- 58
Heshima wakuu, ninahitaji kwa mwenye nalo shamba hata kama ni pori lenye ukubwa wa eka tano kama zimepungua pia tuwasiliane tu.. ziwe nje ya dar na pembezoni ama karibu ya ufukwe. natanguliza shukrani zote! bei isiwe ya kifisadi na ningependa kufanya biashara na mwenye shamba na sio madalali.
Ningeomba kwa mwenye nalo ama kumjua mwenye nalo anishtue kwa mtindo wa hapa na ku pm.
shukran.
Ningeomba kwa mwenye nalo ama kumjua mwenye nalo anishtue kwa mtindo wa hapa na ku pm.
shukran.