suzuki escudo, ipo kwenye hali bomba,imetembea KM 78000; petrol engine, manual flow gear, AC&CD player vpo safi kabisa. Bei 7mil. Kama kuna muhitaji ani pm.
mbona maelezo yapo nusu mkuu, color gani, ya mwaka gani, manual or automatic gear,how many door? weka mambo yote hayo muhimu kuweza kumvutia mteja.
i will be back hope nitakuta maeelezo ya ziada
Hii gari haijawai kushushwa engine bro. Rangi ni nyeusi, na pia ni manual transimission pia ni milango mitatu. ilikuwa kwenye shirika la mradi kagera, sababu ya kuiuza nataka kubadilisha gari,
Hii gari haijawai kushushwa engine bro. Rangi ni nyeusi, na pia ni manual transimission pia ni milango mitatu. ilikuwa kwenye shirika la mradi kagera, sababu ya kuiuza nataka kubadilisha gari,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.