Baada ya Lissu kukamatwa jana karatu na kufikishwa central polisi Arusha hivi ndivyo mahojiano ya awali yalivyokuwa.
OCD Arusha: mhe Lissu unatuhumiwa kwa kosa la kifanya mikusanyika isiyo halali na kosa la kuzuia jeshi la polisi kufanya majukumu yake.
LISSU: sheria haikatazi mm kufanya...
Kupinga jambo ama hali ya mambo ilivyo kiuchumi,kijamii na /ama kiutamaduni ni kutokubaliana. Ni kukataa kwa kutoa mwelekeo mbadala wa jambo/mambo.
Anayepinga au tumwite mpinzani hutumia mbinu anuwai ktk kueleza na kufafanua kile anachodhani ni sahihi kwa jamii husika. Hotuba ktk mikutano na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.