Pamoja na madhaifu ya Jeshi la Congo ila Kigali haiwezi kukwepa lawama kwamba wako nyumba ya M23.
Mara kadhaa iliwahi kuripotiwa kwamba Jeshi la Rwanda limekuwa likipambana bega Kwa bega na M23 dhidi ya Jeshi la Congo.
Nahisi mtoa comments amemaanisha baada ya M23 kufurushwa na Jeshi la DRC pamoja na vikosi vya Umoja wa Afrika mwaka 2013, kundi la M23 lilirudi tena rasmi mnamo mwaka 2022.
Hapo ni miaka kama 9 hivi Sasa Kwa serikali ambayo ipo makini na suala la ulinzi na usalama hiyo miaka ilitosha kabisa...
Asante mkuu Kwa hili ila tutafakari kidogo, kwanini mwaka 2013 M23 walivyotandikwa wengi wao walikimbilia Rwanda na baadhi Uganda!?.
Baada ya miaka kadhaa kupita hili kundi lilikuja Kwa nguvu zaidi likiwa na vifaa vya kisasa, mbinu zaidi nk na huo moto wanauendeleza Hadi sasahv.
Lakini kama...
Mkuu sikuhizi sidhani kama kunashule binafsi ambayo inaajiri mtu ambaye siyo mwalimu by professional, maana nasikia huwa kuna ukaguzi na ufuatiliaji kweli.
Nakushauri anzisha tuition center.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.