Nyumbani ni yupo mama na mdogo wangu tu.mzee alishatangulia mbele za haki.
Kiukweli bond ya mke na familia yangu si nzuri sana
Ila mpaka nimewaza hivyo nimeumia sana maji naona yapo shingoni.
Ila asante kwa ushauri wako mkuu
Habari wana JF.
Mie ni kijana nimeona na nina watoto wawili. Kimaisha sipo vibaya sana nashukuru Mungu. Changamoto kubwa inayonipa hardtime ni Kodi ninazolipa kwa ujumla kuanzia kwenye biashara mpaka nyumba ya kupanga ninayoishi,najiona nimekua na mzigo mkubwa wa kulipa kodi mpaka nashindwa...
Habari wakuu!!Wanasema kizuri kula na wenzio!!
Kama wewe ni mpenz wa kustream online hizo app mbili hutakiwi kukosa kwenye list zako
Onstream hii ni kwaajili ya kustream movie na series ni app moja nzuri sana na unaweza tumia kwa android or smart box yeyote ya kusupport android..Binafsi nilikua...
Habari zenu wana JF.
Nahitaji badilisha rim za kwenye gari yangu zilokuja from Japan na kuweka hizi alloy wheels or sport rims.
Gari yangu ni porte na huwa nasafiri kwenda mkoa mara moja or mbili kwa mwaka. Nasikia hizi sport rims za dukani huwezi tumia katika route ndefu.Je kuna ukweli...
Mimi natumia vodacom nyumbani ambayo ni ya 4G 20Mbps,na ofisini natumia airtel 5G ambayo ni 30Mbps..
Kiukweli zote zipo vizuri sana,ingawa nimeipenda Airtel kwakua ina powerbank umeme ukikata unaweza tumia mpka 7hrs bila kuzima.
Inasikitisha kuona movie za wenzetu za miaka ya 70 huko tunazipata mpaka sasa,ila shamba kubwa ya mwaka 95 hatuna nakala yake mitandaoni mpaka leo.kizazi cha elfu 2000 hawawezi elewa mapinduzi ya filamu zetu,mpaka tulipofikia sasa
Ingia playstore,nenda kwenye about phone then Device certification...Simu iliyopass google certificate lazima iandike "Device is Certified"
Simu isipokuwa certkfied,kwanza app zote za kibank na mobile money haziwezi fanya kazi.
Refurb nyingi zina hizi shida na hizo used za Dubai
Sent using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.