Recent content by Taborian

  1. Taborian

    Kakonko: Diwani CHADEMA afunguka Polepole alivyomtumia watu kumshawishi kujiunga na CCM

    mkuu madiwani 60 wote wananunuliwa then chama hcho kinaaminikaje? Tafsiri yake mifumo ya chama kupata wagombea makini inabidi iangaliwe upya.
  2. Taborian

    Kakonko: Diwani CHADEMA afunguka Polepole alivyomtumia watu kumshawishi kujiunga na CCM

    Unakuwaje chama kikubwa cha upinzani na unaomba nchi, then unatoa excuse kwa wananchi 'confidently' kuwa ccm inawanunua. Kwa mtazamo mpana ni discredit kubwa chama kinachoomba uongozi wa nchi. Tunachoweza jiuliza mkipewa nchi, nyie si mtauza hata Mlima kilimanjaro? Siioni tofauti yenu na CCM
  3. Taborian

    Mwl. Kennedy Mpemba wa Kagongwa Kahama, huyu jamaa huwa simuelewi anafanya kazi muda gani

    Sali bunzali sali. Chief migebuka. King majuto. Chesco. Lawena nsonda. Magulu mingi.
  4. Taborian

    Best 5 Storytelling Rap Songs

    Jay moe-story 3 & ludacris-runaway love. Ufanano & utofautiano. Prof-piga makofi & sean paul-make it clap-busta. Ufanano & utofautiano. Yote ni sanaa na muziki mzuri.
  5. Taborian

    Naam sasa hivi naweza kujivunia na kutembea Kifua mbele kuwa ' System ' ya Tanzania inafanya Kazi vyema

    Hizi 'sistem' zinategemea sana na 'sponsa'. Kwa sasa 'sponsa' ni mtu wa kazi. Heshima ipo. Ukienda mbali zaidi 'gavamenti' ni kama mzazi kwenye familia, mzazi akiwa imara inazaa familia imara. 'gavamenti' ya sasa inaheshimika sana. Ilifika mahala kila mtu ni kambale. Zile lugha 'unanijua mimi ni...
  6. Taborian

    SHINYANGA: Diwani ampa kichapo Nesi mbele ya Wagonjwa

    Asante kwa taarifa. But ni ngumu kuelezea chochote sbb diwani hatujamsikia. danger of one side story.
  7. Taborian

    SHINYANGA: Diwani ampa kichapo Nesi mbele ya Wagonjwa

    Asante kwa taarifa. But ni ngumu kuelezea chochote sbb diwani hatujamsikia.
  8. Taborian

    Nilipohama tu kikazi, nimemuona mpenzi wangu kwenye Tv anaigiza?

    Maswali ya kujiuliza. 1. Umeishi nae muda gani? Kwa muda wote huo hukugundua kama anacho hcho kipaji au anajihusisha na masuala hayo? maana kupata deal ya uigizaji haiji overnight. 2. Wewe kwako alikua huru kiasi gani? Maana kauli niliogopa kukuambia inastua. Ushauri. Fanya research juu ya hyo...
  9. Taborian

    JamiiForums Usiku wa manane

    hahahaha. Ukamanda mwisho saa 12 bendera ikishuka, time hii majina applicable ni babe, sweetheart nakadhalika. Tutaresume ukamanda alfajiri.
  10. Taborian

    JamiiForums Usiku wa manane

    hahahaha. Nimecheka sana mkuu.
  11. Taborian

    JamiiForums Usiku wa manane

    hahaha. Unampooza kwa msg ya 'imethibitishwa'.
  12. Taborian

    JamiiForums Usiku wa manane

    hahaha. Boss wangu ni mimi mwenyewe.
  13. Taborian

    JamiiForums Usiku wa manane

    shukrani mkuu. Nilikua silijui hili chamber. Na lina hali ya hewa nzuri maana naona 'viumbe wa kipekee' wako tele huku
Back
Top Bottom